Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 22,603
- 29,744
Kweli JF kisima cha FIKRA.
Ninaamini michango yenu wanabodi na ninasikitika sana kwa serikali kuamua kuiblow hii kesi kwa kutomuandaa shahidi wake, na Pia ninasikitika zaidi kuwa inawezekana Mwizi (Mahalu) akatoka kifua mbele mahakamani.
Kwa kutoa ushahidi unaoelekea kumruka swahiba wake ni sawa na kujiingiza ktk kitanzi. Hivyo Lumbanga kaumia. Na kesi itakuwa tamu zaidi Hosea akitimuliwa PCCB
Hamkujua kuwa waendesha mashtaka wetu ni vilaza??
Ninaamini michango yenu wanabodi na ninasikitika sana kwa serikali kuamua kuiblow hii kesi kwa kutomuandaa shahidi wake, na Pia ninasikitika zaidi kuwa inawezekana Mwizi (Mahalu) akatoka kifua mbele mahakamani.
Kwa kutoa ushahidi unaoelekea kumruka swahiba wake ni sawa na kujiingiza ktk kitanzi. Hivyo Lumbanga kaumia. Na kesi itakuwa tamu zaidi Hosea akitimuliwa PCCB
Hamkujua kuwa waendesha mashtaka wetu ni vilaza??