Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,894
Jamani sijasoma magazeti ila taarifa ya mwanzo kabisa ilisema makosa ni wizi na kuhujumu Uchimi . Je kesi ya kuhujumu Uchumi ina dhamana?
Inakuwaje leo Mahalu anapelekwa mahakamani na hapo nyuma PCB walikaririwa wakisema kwamba hakuna ushahidi wa kumweka hatiani ? Kuna kitu gani hapa jamani ?
Inakuwaje leo Mahalu anapelekwa mahakamani na hapo nyuma PCB walikaririwa wakisema kwamba hakuna ushahidi wa kumweka hatiani ? Kuna kitu gani hapa jamani ?