Kesi ya Lulu imeahirishwa!

Gody

JF-Expert Member
Apr 16, 2010
1,246
411
Kesi ya masanii wafilamu Tz Elizabeth Michael kama 'Lulu'
kesi yake imeahirishwa mpaka 7-may 2012!
source: Tbc1
 
Hapo ngoma ndo imeanza! Na hapo ndo wameanza kumsaidia. Maana angekuwa si mtu maarufu kesi yake isingekuwa inaahirishwa kwa muda wa wiki mbili (fourteen day rule) kesi iliyoahirishwa leo ingetajwa tena mpaka novembaaaa 2012!!!
 
I feel sorry for this young girl.God bless her..
Nimeanza kumsikia huyu bint baada ya kifo cha Kanumba. Jana nimefanikiwa kumuona ktk taarifa ya habari ya ITV. Ni mdogo sana na ninaamini kwamba yupo chini ya miaka 18. Anahitaji msaada wa kisaikolojia. Kama kuna watu wa kulaumiwa ni wazazi wake kwa kushindwa kumlea vema. Lakini pia ilaumiwe jamii iliyokua imemzunguka wakiwemo wasanii wenzake. Malezi ya watoto wetu hayaridhishi,ni mabovu. Lakini kosa lenyewe ni la bahati mbaya,nadhani mwisho ataachiwa huru ama atahukumiwa kwa mauaji bila kukusudia.
 
Nimeanza kumsikia huyu bint baada ya kifo cha Kanumba. Jana nimefanikiwa kumuona ktk taarifa ya habari ya ITV. Ni mdogo sana na ninaamini kwamba yupo chini ya miaka 18. Anahitaji msaada wa kisaikolojia. Kama kuna watu wa kulaumiwa ni wazazi wake kwa kushindwa kumlea vema. Lakini pia ilaumiwe jamii iliyokua imemzunguka wakiwemo wasanii wenzake. Malezi ya watoto wetu hayaridhishi,ni mabovu. Lakini kosa lenyewe ni la bahati mbaya,nadhani mwisho ataachiwa huru ama atahukumiwa kwa mauaji bila kukusudia.

So you mean Kanumba was a paedophile?? ...and still died a hero, OMG!!
 
Hapo ngoma ndo imeanza! Na hapo ndo wameanza kumsaidia. Maana angekuwa si mtu maarufu kesi yake isingekuwa inaahirishwa kwa muda wa wiki mbili (fourteen day rule) kesi iliyoahirishwa leo ingetajwa tena mpaka novembaaaa 2012!!!
Huenda ni kweli. Kuna watuhumiwa wengi sana magerezani wanalalamikia ucheleweshaji wa kesi zao kwa kipindi kirefu mno!
 
Ukweli kifo cha Kanumba hakihusiani kabisa na Eliza. Kosa la Eliza ni kuwepo kwa marehemu usiku. Mtoto wa kike usiku kwa mvulana!!! Maadili ndio yamemponza Lulu. Naamini atatoka na labda atapata fundisho. Kweli wazazi wake ndio wa kulaumiwa kwa kutompa Eliza malezi mazuri. Jamani mlio na watoto mlee watoto wenu kumjua Mungu, nao wakikua hawatamuacha. Tuchukue hii kesi ya Lulu kama fundisho kwetu jinsi ya kulea watoto wetu.
Nimeanza kumsikia huyu bint baada ya kifo cha Kanumba. Jana nimefanikiwa kumuona ktk taarifa ya habari ya ITV. Ni mdogo sana na ninaamini kwamba yupo chini ya miaka 18. Anahitaji msaada wa kisaikolojia. Kama kuna watu wa kulaumiwa ni wazazi wake kwa kushindwa kumlea vema. Lakini pia ilaumiwe jamii iliyokua imemzunguka wakiwemo wasanii wenzake. Malezi ya watoto wetu hayaridhishi,ni mabovu. Lakini kosa lenyewe ni la bahati mbaya,nadhani mwisho ataachiwa huru ama atahukumiwa kwa mauaji bila kukusudia.
 
Kesi ya masanii wafilamu Tz Elizabeth Michael kama 'Lulu'
kesi yake imehairishwa mpaka 7-may 2012!
source: Tbc1

Hapo pekundu ndipo tunapochafua kiswahili chetu ama kwa makusudi au bila kujua. Hivi wataalam wa Kiswahili hamlioni hilo? Kuhairishwa ndio nini? Hivi KUAHIRISHWA ina maana sawa na kuhairishwa? Nene mvifire hiro.
 
Hapo ngoma ndo imeanza! Na hapo ndo wameanza kumsaidia. Maana angekuwa si mtu maarufu kesi yake isingekuwa inaahirishwa kwa muda wa wiki mbili (fourteen day rule) kesi iliyoahirishwa leo ingetajwa tena mpaka novembaaaa 2012!!!
eeehh ndugu yangu mtuhumiwa akiwa mahabusu siku 14 sio ajabu. sheria haina ushabiki.jaribu kuuliza basi kabla ya lawama.
 
Ukweli kifo cha Kanumba hakihusiani kabisa na Eliza.
unajua kuongea kitu ambacho huna uhakika nacho ni ungo.kama kweli inakuuma watu wnatafuta wanaofahamu ukweli wewe umekaa kimya.halafu unageuka hakimu.acha 'vijiwe laws.'
 
Ukweli kifo cha Kanumba hakihusiani kabisa na Eliza. Kosa la Eliza ni kuwepo kwa marehemu usiku. Mtoto wa kike usiku kwa mvulana!!! Maadili ndio yamemponza Lulu. Naamini atatoka na labda atapata fundisho. Kweli wazazi wake ndio wa kulaumiwa kwa kutompa Eliza malezi mazuri. Jamani mlio na watoto mlee watoto wenu kumjua Mungu, nao wakikua hawatamuacha. Tuchukue hii kesi ya Lulu kama fundisho kwetu jinsi ya kulea watoto wetu.

hapana mama lulu alimkabidhi lulu mikononi mwa marehemu akiamini mwanawe yupo kwny mikono salama na angepata malezi bora, kumbe alimpelekea mifupa fisi na matokeo yake akapata bora malezi, kilichomponza lulu ni kipaji chake na hasa kwa kuwa umri wake ulikuwa mdogo mno hvyo alihtaj uangalifu wa mtu makini anayejua matatizo rika, sasa badala ya kupewa mafunzo ya kuepukana wakamkomaza akawa hasikii la muadhini wala imamu, maskn akashndwa kutofautisha nyeusi na nyeupe, hatmaye yakamkuta ya ulimwengu.
 
So you mean Kanumba was a paedophile?? ...and still died a hero, OMG!!
mkuu umekwenda mbali sana. hata hivyo ni kweli alikua anatembea na mtoto mdogo ambaye kama siyo malezi mabovu anapaswa kuwa shule akisoma!
 
Ofcoz wazazi wana mchango mkubwa ktk maisha ya mtoto. Lakini, kuna vitu vingine vinaonesha utashi wa mtoto husika

either uko chini ama haupo kabisa. Huyu dogo kama walivyo madogo wengine siku hizi,ana tamaa ya maisha flani ambayo

kiukweli yako juu ya uwezo na sio kutaka mapenzi. Na siku zote tamaa ya fisi huponza. Ila wengi tunamuonea huruma coz

kafikwa na makubwa zaidi ya funzo. Ila ndo dunia hiyo na bado wengine tunawaona wanadandia wa umri wa baba zao

mpaka leo.
Nimeanza kumsikia huyu bint baada ya kifo cha Kanumba. Jana nimefanikiwa kumuona ktk taarifa ya habari ya ITV. Ni mdogo sana na ninaamini kwamba yupo chini ya miaka 18. Anahitaji msaada wa kisaikolojia. Kama kuna watu wa kulaumiwa ni wazazi wake kwa kushindwa kumlea vema. Lakini pia ilaumiwe jamii iliyokua imemzunguka wakiwemo wasanii wenzake. Malezi ya watoto wetu hayaridhishi,ni mabovu. Lakini kosa lenyewe ni la bahati mbaya,nadhani mwisho ataachiwa huru ama atahukumiwa kwa mauaji bila kukusudia.
 
Hapo ngoma ndo imeanza! Na hapo ndo wameanza kumsaidia. Maana angekuwa si mtu maarufu kesi yake isingekuwa inaahirishwa kwa muda wa wiki mbili (fourteen day rule) kesi iliyoahirishwa leo ingetajwa tena mpaka novembaaaa 2012!!!

Hapana mkuu. Kwa walio rumande wote yaani mahabusu kwa sheria ni lazima arejeshwe mahakamani kila baada ya wiki 2 au siku kumi na nne. Kama uko uraiani na kesi bado inanguruma inatakiwa kutajwa kila baada ya siku 30 isipokuwa kama inasikilizwa kwa mfulilizo, au kama mashahidi wanapatikana kwa haraka na hakimu ni available then mnaweza kusikilizwa kwa intervals za a week or less. But kwa kuwa hawa waendesha mashtaka wa DPP ni wachache basi kesi wanaendesha wanavyotaka wao maana wanachoka na ndiyo maana kesi nyingi hata ya wizi wa mende inachukua miaka. Kwa mantiki hii hi kesi ya huyu binti yangu mrembo itachukua muda mrefu sana kwenye upelelezi na mpaka ianzwe kusikilizwa, tena uombe tena kama watu wa DPP hawajabadilisha hati ya mashtaka. Yaani ni kizungumkuti but I believe our lovely LULU is innocent!
 
Back
Top Bottom