Wadau siielewi vizuri hii kesi ya Liyumba ni njisi gani hakimu aliweza kutoa maamuzi
Cheo chake naona kwa maamuzi kama yale ni kama haiwezekani
Unjust country,and still big fish are still on the street!
Poor Liyumba,i guess a low profile fisadi!
The whole of Mkapa government should be charged!
DPP is a joke
Kwanini unauliza bwana Mkubwa?Vera we ni lawyer
kwanini unauliza bwana mkubwa?
Curiosity killed the cat remember?just curious........
curiosity killed the cat remember?
haya Bossi am one tough cat.nna roho tisa.....
Hii kesi imeshaanza kunukia 'uzombe.' Hebu angalia maswali ya jopo la mahakimu: "Majengo yamejengwa hayakujengwa? Liyumba alifaidika binafsi na upanuzi wa ujenzi huo? Je, kulikuwa na udanganyifu katika kiasi cha fedha kilichotumika katika ujenzi ujenzi huo? Sasa hasara inapatikanaje?" Hapa shahidi hakuweza kujibu swali hata moja na kusababisha kicheko toka kwa watu! Kaaazi kweli kweli!
Majengo yapo lakini je kuna uwiano kati ya dhamani ya majengo na pesa halisi iliyotumika? Je kila kilichowekwa kwenye hayo majengo kilistahili kuweka kulingana na nature ya business ya shirika? Inawezekana tumewekewa madirisha bullet proof kwa vile supplier wa mjenzi alitushawishi tufanye hivyo kwa mtindo wa 10%. Huu ni ubadhilifu na ufisadi kwa manufaa binafsi.