Mawakili wa Liyumba pia waliwasilisha hati ya kusafiria ya mshitakiwa huyo yenye namba A0320091 ambayo muda wake wa kutumika ulimalizika tangu Februari 12, mwaka juzi. Baada ya mahakama kutoa dhamana hiyo, waendesha mashitaka ambao hawakuridhika na uamuzi huo, waliahidi kufanya kikao ili kujadili mwenendo wa suala hilo. Liyumba ambaye alikuwa Mkurugenzi wa Utumishi na Utawala, katika kesi hiyo anashitakiwa pamoja na Deogratius Kweka ambaye alikuwa Mkurugenzi wa Miradi BoT.
Kama ni kweli itathibitishwa Liyumba ametoroka, kwa mujibu wa mwenendo wa kesi za jinai, kesi hiyo kesho inafutwa rasmi na mtuhumiwa anaachiwa huru.
Hivi ndivyo ilivyofanyika wakati wa Kesi ya Pili ya Uhaini Tanzania, Mwaka 1983, baada ya kutoroka gereza la Ukonga, Mshtakiwa wa kwanza, Father Tom na mshtakiwa wa pili, Hatty McGhee, kesi hiyo ilifutwa rasmi na washtakiwa wengine wote 29 waliachiwa huru. Hata hivyo, washtakiwa wote walikamatwa mara tuu baada ya kutoka mahakani na kesho yake walifikishwa tena mahakamani kusomewa mashitaka mapya.
Kwa hiyo kesi ya Liyumba itafutwa kesho, mshtakiwa mwenza ataachiwa huru, labda serikali ikiamua kumkamata tena na kumfungulia kesi mpya.
Pamoja na jamaa kutoroka, serikali ilikurupuka kufungua mashtaka ya thamani yote ya majengo pacha kana kwamba mradi mzima ni mradi batili.
Angetokea mwanasheria wa John Cochram type, angemwambia Liyummba na mwenzake wakubali kosa, wairudishie serikali hizo
Bilioni 200 na majengo pacha yawe ya mwekezaji mpya.
The-proper charge ya kuitia hasara serikali, ilikuwa ifanyike baada ya valuation ya Twin Towers. Then unacompare value halisi na value iliyozidishwa, ndipo unawafungulia kesi ya kusababisha hasara ya kile kiasi tuu kilichozidi.
Pamoja na hasira zetu zote kuhusiana na hivi vitendo vya ufisadi,
Waliovitenda ni binadamu, hivyo ubinadamu uko pale pale kama Mkapa anavyoheshimiwa pamoja na madudu yote yaliyofanyika wakati wa utawala wake.
are you serious Mkapa anaheshimiwa, na nani ? nnavyo jua mimi anazomewa kila anapokwenda ama kama unamchanganya na Mzee Mwinyi,
SAHIBA,
Sasa kama yeye amequote mwalimu kwanini we umquote yeye?
Ndugu wananchi msiwe na wasiwasi mkuu AL atarudi tu, kuna ka-prosidya kadogo ka-tiba kanafanyika... kwani HEAMODIALYSIS huwa inachukua muda gani, nafikiri wataalam wa afya watatusaidia hapa!
Ndugu wananchi msiwe na wasiwasi mkuu AL atarudi tu, kuna ka-prosidya kadogo ka-tiba kanafanyika... kwani HEAMODIALYSIS huwa inachukua muda gani, nafikiri wataalam wa afya watatusaidia hapa!
Ndugu wananchi msiwe na wasiwasi mkuu AL atarudi tu, kuna ka-prosidya kadogo ka-tiba kanafanyika... kwani HEAMODIALYSIS huwa inachukua muda gani, nafikiri wataalam wa afya watatusaidia hapa!
kaazi ipo
Nasikia kichefu chefu..... Yaani kweli nikasikia wadhamini wameshikiliwa wanaweza kushitakiwa, sasa naambiwa wameachiwa tena!!!!!Hii picha ina wachezaji wengi sisi tutaendeela kuwa Watazamaji, na ndio maana leo Peter Noni ni shahidi na mshitakiwa wa kesi za EPA. Na Noni kuwa shahidiwahandishi wa abari wanaandika (tunaandika) na wako wanaomjuita Peter .... na si Peter Noni yule ambaye ana ukwasi wa kutisha mwenye mapesa mengi ya Vodacom aloyomuuzia Rostam hisa
Kwa ni kweli yuko Dialysis then yuko Regency Hospital, by the way asilimia kubwa ya wagonjwa wanaofanyiwa Dialysis hapo Regency hatima yao huwa siyo nzuri. Wagonjwa wengi wa figo huenda India na huko ndiko matatizo hayo huonekana. Full circle ni masaa 4. Kwa vile Liyumba hajafanya siku nyingi hiyo Dialysis, hawezi kuanza na ful session, lazima aanze na masaa 2 next round ndio full circle. Watu wa dialysis ya HIV ya ukweli huifanyia London, hata hivyo afya zao bado zinatetereka kwa miili yao kupoteza nuru ya maisha (life force).Ndugu wananchi msiwe na wasiwasi mkuu AL atarudi tu, kuna ka-prosidya kadogo ka-tiba kanafanyika... kwani HEAMODIALYSIS huwa inachukua muda gani, nafikiri wataalam wa afya watatusaidia hapa!