Kesi hii ilifunguliwa baada ya kifo cha Gavana. Halafu Reli si mbumbu anasema anachokielewa, ujue kuwa yupo mahakamani na anatakiwa aseme ukweli na ambao anaweza kuutetea akiwekwa kwenye kona. Ukweli ni kwamba bodi ilipitisha mabadiliko na ndiyo maana yaliendelea. Kama bado haikuridhika basi aliyeruhsu matumizi bila adhini angechukuliwa hatua. inaonekana kila kitu hapo BoT kilfuata process na hat TZS1.2billion za nyumba ya gavana ilifuata process hiyo hiyo....Hapa tunachezewa kiini macho na serikali yetu..wanafungua kesi zisizo na ushahidi wa kutosha ili mradi tu donors waone kwamba wanachukua hatua, hata kama kesi itatupiliwa mbali na mahakama baadaye... in short wanaendelea ku-misues resources zetu!!!Tanzania yetu Inateketea...Hivi unawezaje kumuajiri Naibu Gavana Mbumbumbu kama Reli kwenye kitengo muhimu kama hiki? yani ni kama pale BOT haelewi chochote kinachoendelea.....Tusisahau Mtu huyo huyo ndiyo mmojawapo wa magavana waliojengewa majumba ya mabilioni. Je, msaada wake katika kulijenga taifa uko wapi? mtu kama huyo ni wa kumstahafisha kwa maslahi ya Taifa. Na kesi hii ya Liumba mwisho wake naanza kuuona, Hii kesi imegeuzwa kabisa na kuimaliza kwa kutumia kivuli cha Gavana ambaye ni marehemu na idhinisho zote zilizopitishwa zitatupiwa kwake...By the end of time LIUMBA will be Free kwakuwa mabadiliko ya project hiyo yaliidhinishwa na Marehemu Gavana.
Mungu Ibariki Tanzania,Mungu ibariki Africa.