Msimamizi wa uchaguzi, na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Singida, Bi. Illuminata Leornard Mwenda, amepanda kizimbani katika kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi wa Jimbo la Singida mashariki, Yeye anakuwa shahidi wa pili, baada ya Jana Tundu Lissu kujitetea kwa siku nzima. Mahojiano yake na wakili wa serikali, wakili msomi Tango yanaendelea tutaendelea kuwapa kwa urefu