Kesi ya Lema: Shahidi amtaja Edward Lowassa

Mwanakijiji,
Mimi hata sielewi kinachoendelea huko Arusha, hata nikisoma kilichoandikwa hapa natoka mtupu. Mara namsoma huyo Agness Gideon Mollel kama shahidi wa kesi, halafu ghafla anabadilika na kuwa mshitaka aliyefungua kesi..darasa la saba sijui hiyo elimu ndio inaweza fungua kesi au ndio kujua zaidi haki yake.

Halafu utangulizi unaonyesha ni kesi ya kupinga matokeo ya ubunge wa Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini, Godbles Lema (Chadema), sasa sielewi ni nani anayeweza kupinga matokeo ya ubunge wa jimbo hilo zaidi ya Batilda mwenyewe..Mwenye kuelewa zadi kinachoendelea atujuze maana vitu kibao vinajichanganya hapa.

Nafikiri hii case itakuwa ni ya kujionesha nani mkereketwa wa CCM zaidi. Ninachokiona kwenye kesi hii ni sawa na kuhamishia jukwaa la siasa mahakamani. Nina wasiwasi na unpartiality ya jaji Mujuluzi aliyekubali kusikiliza kesi hii hapo awali kabla ya kujitoa. Hapo hakuna kesi ya kupinga matokeo bali kuna kesi ya madai ya kashfa. Kinachotakiwa kuoneshwa katika kesi ya kupinda matokea ni jinsi gani uchaguzi kam process uliharibiwa na kashfa dhidi ya Batilda eg.

  1. Kuna watu walikosa haki ya kupiga kura
  2. Matokeo ya kura yaliharibishwa kwa kuwa contaminated
  3. Mgombea aliyeshinda hakuwa na sifa za kugombea(eg si raia wa nchi au below 18 years)
  4. Matokeo yalichakachuliwa na hayaonesha uhalisia wa wapiga kura
Kuhusu nani alisema nini katika jukwaa, itakuwa inakula zaidi kwa CCM kuliko wapinzani. Maana itafikia mahali sasa watu watafungua kesi wakisema mgombea aliahidi kutengeneza barabara ndani ya siku kumi ameshindwa hivyo tunapinga uchaguzi wake. CCM wanaweza kufanya kila wawezalo kulazimisha mahakama iridhie kutengua matokeo lakini wajue kuwa Jimbo la Arusha halitarudi mikononi mwao tena labla wafanye mapinduzi ya kipolisi dhidi ya matakwa ya wapiga kura. It is a total waste of time. Kuna watu wapo mahabusu mwaka wa 10 sasa kesi zao hazijasikilizwa kwa nini resources zisipelekwe kwenye kusikiliza kesi hizo?.

Ushauri wa Yussuf Makamba mwaka 2010 kuwa CCM wafungue kesi sehemu zote walizoshindwa na wapinzani was a total waste of resources and time. Inawezekana ilikuwa strategy ya kulinda majimbo waliyojitangaza washindi bila ridhaa ya wananchi ila kesi ya Arusha is as good as ze comedi.
 
Mwanakijiji,
Mimi hata sielewi kinachoendelea huko Arusha, hata nikisoma kilichoandikwa hapa natoka mtupu. Mara namsoma huyo Agness Gideon Mollel kama shahidi wa kesi, halafu ghafla anabadilika na kuwa mshitaka aliyefungua kesi..darasa la saba sijui hiyo elimu ndio inaweza fungua kesi au ndio kujua zaidi haki yake.

Halafu utangulizi unaonyesha ni kesi ya kupinga matokeo ya ubunge wa Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini, Godbles Lema (Chadema), sasa sielewi ni nani anayeweza kupinga matokeo ya ubunge wa jimbo hilo zaidi ya Batilda mwenyewe..Mwenye kuelewa zadi kinachoendelea atujuze maana vitu kibao vinajichanganya hapa.

1.Kijani:mtu anayetokea maelezo mahakamani anaitwa shahidi awe ni mlalamikaji au mtoa utetezi kwa kuwa maelezo yale huchukuliwa kama ushahidi endapo yatakuwa competent

2.Blue: ni kweli kabisa kisheria kwa kuwa hiyo criminal case bali ni tort third party hapaswi kufungua kesi kwa hiyo hizo zote ni loope hole for Lema to win the case

nakubaliana na wanaosema kuwa ni wastage of time and resources
 
Elimu inatakiwa tuu jamani kwa watu mbona tumezalilishwa na mengi na wagombea kwa mfano kama AHADI NI DENI je waheshimiwa wakishindwa kutimiza wafunguliwa kesi za madai mahakamani? na wapoteze haki zakugombea tena maana kama sikosei mgombea hatakiwikuwa amesha shitakiwa hii vipi ?nahisi na ndio maana wameweka muda wa kubwatuka ni wakati wa kampeni tuuu na sio vinginevyo.Dr anahaki yakubeba mimba ya atakayemchagua yeye na kuwa namimba sio kudhalilishwa duh hii ndio TZ kilimokwanza elimu baadae WORK-UP
 
Mbona kama nahisi hii kesi imefunguliwa na maadui wa Batilda ili wamchafue.
Kwani nani alikua anajua kama Batilda na Lowa hasa walivunja amri ya sita???

Tanzania zaidi ya uijuavyo...
 
Kesi hii ita waletea stress familia ya Lowassa na Mume wa Batilda kwani maneno ya ushahidi yanayotolewa mahakamani sio ya busara!!
 
Mwanakijiji,
Mimi hata sielewi kinachoendelea huko Arusha, hata nikisoma kilichoandikwa hapa natoka mtupu. Mara namsoma huyo Agness Gideon Mollel kama shahidi wa kesi, halafu ghafla anabadilika na kuwa mshitaka aliyefungua kesi..darasa la saba sijui hiyo elimu ndio inaweza fungua kesi au ndio kujua zaidi haki yake.

Halafu utangulizi unaonyesha ni kesi ya kupinga matokeo ya ubunge wa Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini, Godbles Lema (Chadema), sasa sielewi ni nani anayeweza kupinga matokeo ya ubunge wa jimbo hilo zaidi ya Batilda mwenyewe..Mwenye kuelewa zadi kinachoendelea atujuze maana vitu kibao vinajichanganya hapa.

Mi pia nakiona hiki kizunguzungu hapo...lakini kwa kukusaidia kidogo,shahidi wa kwanza wa kesi huwa ni mshitaki mwenyewe.
 
Back
Top Bottom