Kesi imechelewa kuanza hivyo tayari imeshaanza na shahidi namba moja Hawa Nghumbi ndo anamaliza kusikilizwa hapa na anajikanyaga kanyaga mpaka watu wanaangua vicheko
Sera yetu CCM ni kufungua kesi nyingi ili kati ya 10 mahakama yetu itatoa ushindi wa mezani kwa kesi 3 na
tukisimama mbele ya majukwaa tutakuwa tunasema mbona kesi 7 tulizoshindwa wapinzani hawasemi?ai
Nayo mahakama yetu itadai hivi " kama wapinzani hawaoni tunatoa haki mbona tumewapa ushindi kwa kesi 7?
Walitaka washinde zote?"
Kusema kweli ktk demokrasia inahudhi sana wakuu. Nadhani aliyewekwa kwenye target hapa ni Lema na Mnyika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.