Kesi ya kupinga ubunge wa Mnyika kuendelea kesho tarehe 27

Serayamajimbo

Senior Member
Apr 15, 2009
191
38
Kesho tarehe 27 Aprili kesi ya kupinga ushindi wa Mnyika katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 inaendelea. Najiandaa kuwepo niwajulishe kitakachotokea.

Serayamajimbo
 
Umebanwa na mavi nenda chooni usije ukajaza mavi kwenye chupi!

Watu wapumbavu kama nyie ni wakuhurumiwa, mnahitaji kufanyiwa maombi
Wananchi tutakuwa kazini so hatuna mda wa kufatilia kesi za wachaga.
 
Umebanwa na mavi nenda chooni usije ukajaza mavi kwenye chupi!

Watu wapumbavu kama nyie ni wakuhurumiwa, mnahitaji kufanyiwa maombi

mkuu mungi bwana asifiwe! Ni makosa makubwa kufatilia kesi za fisadi wa ruzuku mnyika
 
Pepe mbona unatujazia saver bure unafanyakazi mabatini au unafanyia wapi hiyo kazi?

heshima kwako mkuu! Nia yangu humu jamvini ni kupinga wale wote wanaofisadi kodi zetu kupitia ruzuku na sehemu nyingine, pia usipende kuwaamini sna wachaga kwani mm ninawajua vizuri na ukitaka kuoamini niyasemayo we fatilia tu sera ya majimbo ambayo wanataka waiendeleze miji yao ya moshi na arusha alafu na kuacha sehemu ambazo hazina rasilimali kama tabora ziwe masikini.
 
heshima kwako mkuu! Nia yangu humu jamvini ni kupinga wale wote wanaofisadi kodi zetu kupitia ruzuku na sehemu nyingine, pia usipende kuwaamini sna wachaga kwani mm ninawajua vizuri na ukitaka kuoamini niyasemayo we fatilia tu sera ya majimbo ambayo wanataka waiendeleze miji yao ya moshi na arusha alafu na kuacha sehemu ambazo hazina rasilimali kama tabora ziwe masikini.

Sio kosa lako bali uvivu wa kufiri. Unajua Mnyika ni pasua bongo pale mjengoni ndo maana magamba at work. Tanzania sio ya ukabila wala udini. Plse try something smarter.
 
heshima kwako mkuu! Nia yangu humu jamvini ni kupinga wale wote wanaofisadi kodi zetu kupitia ruzuku na sehemu nyingine, pia usipende kuwaamini sna wachaga kwani mm ninawajua vizuri na ukitaka kuoamini niyasemayo we fatilia tu sera ya majimbo ambayo wanataka waiendeleze miji yao ya moshi na arusha alafu na kuacha sehemu ambazo hazina rasilimali kama tabora ziwe masikini.

ruzuku gani hizo?
sera ya majimbo: Unafahamu kwamba tabora ni moja kati ya mikoa inayoongoza kwa kuwa na machimbo mengi hapa tz? kuna migodi kama 18 hivi pale tabora. Maana ya kuwa na majimbo si kwamba kila mkoa utakuwa jimbo! ebo
 
ruzuku gani hizo?
sera ya majimbo: Unafahamu kwamba tabora ni moja kati ya mikoa inayoongoza kwa kuwa na machimbo mengi hapa tz? kuna migodi kama 18 hivi pale tabora. Maana ya kuwa na majimbo si kwamba kila mkoa utakuwa jimbo! ebo

mgodi tabora ni igunga na nzega tena ambapo yamebakia mashimo 2 so ni vyema hawa wachaga wa chadema waache ubaguzi wao.
 
Pepe heshima kwako pia usiwe kama bahari anaponda azimio wakati enzi za azimio yeye aliweza soma, kuhusu sera ya majimbo labda huja soma vizuri ebu omba wanaoifahamu wakuelezee au wakuwekee hapa jamvini vinginevyo utakuwa na chuki binafsi. labda mimi niweke wazi mimi sio cdm wala ccm ila nipo mwl forum, hivyo usiwe na chuki kwa kua umesikia wenzio wakema hivyo adios
 
Back
Top Bottom