Komeo
JF-Expert Member
- May 3, 2011
- 2,498
- 1,171
Aisee! Hamjambo kabisa hapo Halmashauri ya Wilaya/Mji?Kesi hii bado inaendelea.leo asubuhi nimemwona huyo mgombea wa chadema,prof safari na mahakimu wengi tu pamoja na wasindikizaji wengine hapa mahakama ya nzega ambapo ndio kesi inasikilizwa.nimejaribu kwenda kusikiliza bahati mbaya nikatingwa na shughuli lakini kwa mbali hapa naona kesi bado inaendelea kwani ofisi yetu iko karibu na mahakama hapa kiasi kwamba naweza kuona kupitia dirisha la mahakama hiyo. Iwl update when iget close to th place.