Kesi ya kupinga matokeo ya Godless Lema

Crashwise

JF-Expert Member
Oct 23, 2007
22,227
8,735
Ile kesi ya kupinga matokea ya ubunge wa Arusha mjini iliyofunguliwa na Musa mkangaa na wenzanke zidi ya kamanda Godbless Lema, mkurungezi wa manispaa ya Arusha na mwanasheria itaanza kuunguruma leo...Katika matokeo ya uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba, mwaka jana, Lema, alimbwaga kwa kura nyingi aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira), Dk. Batilda Burian. Lema alipata kura 56,196 na Dk. Burian aliambulia kura 37.460......nitawajuza zaidi kinachoendelea


====
Kesi inaendelea tena leo tarehe 06.02.2012
CCM imejaza mabausa sijaelewa kazi ni kwanini...
nitawajuza zaidi...
====
Ushahidi waanza kutolewa

Na Queen Lema, Arusha

KESI ya kupinga matokeo yaliyompa ushindi Mbunge wa Arusha Mjini, Bw. Godbless Lema, imeanza kusikilizwa jana.

Shahidi wa kwanza katika kesi hiyo upande wa mlalamikaji, Bw. Musa Mkangaa, aliieleza Mahakama jinsi Bw. Lema alivyotumia maneno kumdharirisha aliyekuwa mgombea wa nafasi hiyo kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Batilda Buriani.

Kesi hiyo namba 13 ya mwaka 2010, inasikilizwa katika Mahakama Kuu Kanda ya Arusha na Jaji Mfawidhi, Gabriel Rwakibarila, kutoka Mahakama ya Sumbawanga.

Bw. Mkangaa alidai kuwa yeye binafsi alifanikiwa kutembelea sehemu nne za mikutano ya kampeni ya Bw. Lema, ambapo mbali na kutoa ahadi, mbunge huyo alimkashifu Dkt. Buriani.

Alidai kuwa Agosti 312010, katika eneo la Kwa Muorombo, Kata ya Terrat, Bw. Lema aliwaeleza wananchi waliohudhuria mkutano wa kampeni kuwa wanaume katika makabila ya Wachaga na Waarusha, hawawezi kutawaliwa na mwanamke.

Alisema kauli hiyo kwa mujibu wa sheria ni kinyume cha taratibu na kudai kuwa, mbali ya kuwakataza wananchi kutompa kura Bi. Buriani pia aliwataka kujiadhari na watu wanaovaa vitambaa katika vichwa vyao, kwani huenda ni miongoni mwa makundi ya kigaidi.

"Mimi nilimsikia Bw. Lema akiwaambia wananchi wasimchague Dkt. Buriani kwa kuwa anavaa vitambaa na kufunika kichwa kila mara hivyo si kiongozi bora," alisema.

Katika hatua nyingine, shahidi huyo alisema Septembe 18,2010, saa sita mchana katika eneo la Mbauda, Bw. Lema, akiwa na viongozi wa chama chake waliendelea kurudia maneno hayo.
 
Mkuu Crashwise.

Asante kwa taarifa lakini chonde chonde weka ushabiki pembeni tujuze kinachoendelea hata kama kamanda wako kaminywa sema tu hii ndiyo starehe ya JF.Habari za Lema kashinda kwa kura nyingi hazina msingi kwasababu kinachopingwa si kukosewa kwa hesaba tu.


Ile kesi ya kupinga matokea ya ubunge wa Arusha mjini iliyofunguliwa na Musa mkangaa na wenzanke zidi ya kamanda Godbless Lema, mkurungezi wa manispaa ya Arusha na mwanasheria itaanza kuunguruma leo...Katika matokeo ya uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba, mwaka jana, Lema, alimbwaga kwa kura nyingi aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira), Dk. Batilda Burian. Lema alipata kura 56,196 na Dk. Burian aliambulia kura 37.460......nitawajuza zaidi kinachoendelea
 
Mkuu Crashwise.

Asante kwa taarifa lakini chonde chonde weka ushabiki pembeni tujuze kinachoendelea hata kama kamanda wako kaminywa sema tu hii ndiyo starehe ya JF.Habari za Lema kashinda kwa kura nyingi hazina msingi kwasababu kinachopingwa si kukosewa kwa hesaba tu.

Mkuu kuna mengine zaidi ya hesabu?
 
Mkuu Crashwise.

Asante kwa taarifa lakini chonde chonde weka ushabiki pembeni tujuze kinachoendelea hata kama kamanda wako kaminywa sema tu hii ndiyo starehe ya JF.Habari za Lema kashinda kwa kura nyingi hazina msingi kwasababu kinachopingwa si kukosewa kwa hesaba tu.
hebu ni kumbushe nilini nililipoti kwa kuweka ushabiki zaidi.....
 
Mkuu wangu umeshasahau kesi ya madiwani ulivyowahukumu kabla ya mahakama haijatoa hukumu.Kwanza ulishawabatiza wasaliti ebu jiweke wewe ndiyo hakimu madiwani wangetendewa haki ?.

hebu ni kumbushe nilini nililipoti kwa kuweka ushabiki zaidi.....
 
hebu ni kumbushe nilini nililipoti kwa kuweka ushabiki zaidi.....

Mkuu usipate shida na huyu mtani wa jadi, we endelea kutujuza kinachojiri huko mahakamani.

Hivi huyo Mussa Mkangaa aliyefungua kesi ya kupinga matokeo ni wa chama gani?
 
Mkuu yapo mengine zaidi ya hesabu nitakujulisha baadaye kuna jamaa zangu wapo hapo mahakamani kumtegemea Crashwise pekee yake ni kujidanganya mchana kweupe.Crashwise yuko kwaajili ya Lema na CDM akiona kaminywa hakika usitegemee atatujuza sana sana atatafuta visingizio kama kawaida yake.

Maisha kutafuta sio kutafutana.
 
Mkuu yapo mengine zaidi ya hesabu nitakujulisha baadaye kuna jamaa zangu wapo hapo mahakamani kumtegemea Crashwise pekee yake ni kujidanganya mchana kweupe.Crashwise yuko kwaajili ya Lema na CDM akiona kaminywa hakika usitegemee atatujuza sana sana atatafuta visingizio kama kawaida yake.

Sasa kama kuna jamaa zako hapo mahakamani kwanini kumlalamikia Crashwise huku at the same time ukimtegemea?

Na hayo mengine kumbe huyajui pamoja na kukaa arusha na kujivika usemaji wa anti-Lema, unasubiri jamaa yako ndo akufahamishe? Mara zote huwa unakuwa mjuvi wa mambo yanayomhusu Lema, sasa hili imekuwaje likakupita kushoto?
 
Mussa Mkangaa ni diwani wa zamani CCM sijui siku hizi ana wadhifa gani ndani ya chama cha Magamba.

Mkuu usipate shida na huyu mtani wa jadi, we endelea kutujuza kinachojiri huko mahakamani.

Hivi huyo Mussa Mkangaa aliyefungua kesi ya kupinga matokeo ni wa chama gani?
 
M Maranya

kesi ya kupinga ubunge wa Lema awali ilifunguliwa na watu wengine baadaye wakajitoa sasa sijui kwa hakika kama mashitaka ni yale yale ila ninachojua kuna vipengele zaidi ya vitano vinavyobishaniwa pia muda umeshapita sana unajua mimi si kama Crashwise hana shughuli nyingine zaidi ya CDM na Lema.

Kitakachojadiliwa mahakamani hakika nitakijua muda huu jamaa zangu wapo ndani nadhani unajua taratibu za kimahakama lazima simu zote zizimwe.Habari atakazoleta Crashwise lazima niziverify upo mwita.


Sasa kama kuna jamaa zako hapo mahakamani kwanini kumlalamikia Crashwise huku at the same time ukimtegemea?

Na hayo mengine kumbe huyajui pamoja na kukaa arusha na kujivika usemaji wa anti-Lema, unasubiri jamaa yako ndo akufahamishe? Mara zote huwa unakuwa mjuvi wa mambo yanayomhusu Lema, sasa hili imekuwaje likakupita kushoto?
 
M Maranya

kesi ya kupinga ubunge wa Lema awali ilifunguliwa na watu wengine baadaye wakajitoa sasa sijui kwa hakika kama mashitaka ni yale yale ila ninachojua kuna vipengele zaidi ya vitano vinavyobishaniwa pia muda umeshapita sana unajua mimi si kama Crashwise hana shughuli nyingine zaidi ya CDM na Lema.

Kitakachojadiliwa mahakamani hakika nitakijua muda huu jamaa zangu wapo ndani nadhani unajua taratibu za kimahakama lazima simu zote zizimwe.Habari atakazoleta Crashwise lazima niziverify upo mwita.

Ngongo heshima kwako!kuna watu wanashinda wakicheza bao kuanzia asubuhi hadi jioni,nafamila zao ziko vizuri,swala la kusema kuwa crashwise hana shuguli nyingine zaidi ya lema na chadema sio haki,kwasababu uwezi kumpangia mtu shuguli ya kufanya ukizingatia aumlishi wala kumvisha,inaonesha unachuki tu binafsi na crashwise na sio kitu kingine,maisha ni kutafuta sio kutafutana.
 
Ngongo amesaini contract ya kumtafutia mabaya Lema kwa hali na mali. Kwake yeye kumtafuta Lema ndo maisha.
Mwita huu ndio ujinga ambao tunaufanya watanzania,na siku zote mwisho wa ubaya ni aibu,Inaonesha Ng'ongo ni kama alivyo FF yaani wanamchukia mtu tu bila sababu ya msingi,FF ukimuuliza sababu ya kumchukia Nyerere anajikanyaga kanyaga tu,sasa hili swala na liona kwa ng'ongo.
Tufanya kazi watanzania tuache majungu na kutafutana pasipo na sababu.
 
Mi cjaona anacholenga Ngongo mpk muda huu! Crashwise,huyu Ngongo Mi naona ni sawa na kelele ya chura haimnyimi ng'ombe kunywa maji. Crashwise 2nakutegemea Kamanda.
 
M Maranya

kesi ya kupinga ubunge wa Lema awali ilifunguliwa na watu wengine baadaye wakajitoa sasa sijui kwa hakika kama mashitaka ni yale yale ila ninachojua kuna vipengele zaidi ya vitano vinavyobishaniwa pia muda umeshapita sana unajua mimi si kama Crashwise hana shughuli nyingine zaidi ya CDM na Lema.

Kitakachojadiliwa mahakamani hakika nitakijua muda huu jamaa zangu wapo ndani nadhani unajua taratibu za kimahakama lazima simu zote zizimwe.Habari atakazoleta Crashwise lazima niziverify upo mwita.

Ha ha haa, Ngongo bana heshima kwako mkuu.

Haya mkuu nasubiri kusoma verified information toka kwa watu wako.
 
Mwita huu ndio ujinga ambao tunaufanya watanzania,na siku zote mwisho wa ubaya ni aibu,Inaonesha Ng'ongo ni kama alivyo FF yaani wanamchukia mtu tu bila sababu ya msingi,FF ukimuuliza sababu ya kumchukia Nyerere anajikanyaga kanyaga tu,sasa hili swala na liona kwa ng'ongo.
Tufanya kazi watanzania tuache majungu na kutafutana pasipo na sababu.

Ndo maana mimi huwa nashindwa kumuelewa Ngongo.

Mwanzoni alipoanza kumshambulia Lema nilidhani ni siasa za uchaguzi tu, baada ya uchaguzi mashambulizi yangeisha lakini wapi bwana Ngongo anaendelea kutupa mawe.

Mkuu ngongo badilika, inaonekana kama una kisasi na Lema, kwa maana hii yako sasa imevuka kiwango cha chuki.
 
nimechelewa kufika lakini kinachobishaniwa sasa ni juu ya maneno aliyoyatumia lema kwenye kampeni kuwa yalikuwa yana mkashifu mgombea wa ccm..wanaulizwa yaliwaathiri vipi waliofungua kesi
 
Back
Top Bottom