Kesi ya Kiongozi Uamsho: Mawakili watishia kujitoa, Sheikh Farid anyolewa ndevu...

Tunaomba dk shein aendelee hivohivo ,maana kuna watu wanataka kutumia dini ya mwenyezi mungu vibaya, kama wamezoea uarabuni basi sio tanzania. Vinginevyo wasajili vyama vya siasa tuelewe moja na si kutumia dini ya allah!
 
Kila lenye mwanzo lina mwisho. Mbio za sakafuni zinaishia ukingoni. Ukipiga ukuta ngumi utaumia wewe. Ukimuiga tembo kunywa maji utapasuka msamba.
 
293737_300224926744270_948112269_n.jpg

Picha kwa hisani ya Uamsho facebook
pembeni hapo shehe na poti yake otea kuna nini ndani
 
Siiipatii picha ijumaa ya kesho...
Vijana wa farida huko zenj na wa ponda huku bara idd watailia segerea
 
Amenyolewa ndefu bila ridhaa yake? Au kaamua kunyoa mwenyewe ili ionekane anagandamizwa na serikali?
 
Duuh!! Kumbe haka kajamaa kana uso flani hivi,ngoja waje wazee wa pwani wamalizane nae.
 
mbona shehe anatoa ishara ya amani vidole viwili ananitisha

ni amani au ni alama ya ushindi..


The V sign is a hand gesture in which the indexi and middle fingers are raised and parted, while the other fingers are clenched. It has various meanings, depending on the cultural context and how it is presented. It is most commonly used to represent the letter "V" as in "victory"; as a symbol of peace (usually with palm outward); as an offensive gesture (palm inward); and to represent the number 2. It was adopted by the 1960s counterculture movement as a sign for peace
 
Midevu michafu inatuharibia mahakama zetu..........wapeleke midevu yao huko misikitini.....swine flu
 
Mbinu za shekh Farid anazozitumia kutimiza malengo yake ya kisiasa ni mbinu za hali ya juu na ni za kigaidi,mi naamini serikali ilihusika katika utekaji wa Dr Ulimwomboka,lkn la huyu shekhe,ni kwamba alijificha makusudi ili atengeneze hali ya sintofahamu,na hatimae aendelee na mpango wake aliotoka nao Yemen.Watanzania tuwe makini.

Huna haja ya kujificha ...wewe utaamini kila aliyekamatwa ambae mkristo...Kwa muislamu kwako wewe hana haki yeyote... Lakini sio nyakati hizi... Lolote baya atakalofanyiwa Seikh Farid ,ndio hilo hilo litawakuta Mapadri/Askofu/wachngaji.
 
Kesi imetajwa leo katika mahakama ya Mwanakwerekwe na kisha ikahamishiwa katika mahakama ya Vuga.

Mawakili wametishia kujitoa katika kesi hyo kwa madai ya usumbufu wanaoupata wateja wao. Mawakili hao ni Salim Tawfik na Abdallah Juma wanaowawakilisha Sheikh Farid Hadi Ahmed na wenzake sita. Leo hii wamesusa kabisa kuingia mahakamani na wamesema wanakusudia kujitoa kutokana na uusmbufu wanaofanyiwa wateja wao wa kuhawangaisha.

Na sasa hivi mawakili hao wameshaondoka na watuhumiwa ndio wanafikishwa mahakamani wakiwa wamenyolewa ndevu zote wakiwa mahabusu. Kesi leo inatarajiwa kutolewa maamuzi ya masharti ya dhamana yaliyokuwa yanapingwa na mawakili wa utetezi ambao wameshaondoka mahakamani hapa.

Hatujui nini kitaendelea tena maana watu wamezuiliwa kuingia katika eneo la mahakamani. Nikipata updates nitawajulisha

Updates:
406877_300222736744489_1479620875_n.jpg

Mawakili wakisoma tamko la kutaka kujitoa kabla hawajaondoka mahakamani hapo.

293737_300224926744270_948112269_n.jpg


Sheikh Farid akiwa kanyolewa ndevu akiwasili mahakama ya Vuga leo.

MORE UPDATES:

Sheikh Farid na wenzake wasomewa mashtaka mapya:
1) Kusababisha uvinjifu wa amani zanziba
2) Kusababisha uharibifu wa mali kisiwani zanzibar kutokana na vurugu
3) Kushawishi na kuchochea vurugu zilizosababisha kuhatarisha maisha ya watu na serikali kuingia hasaraK

Aidha mtuhumiwa mmoja anatuhumiwa kumtukana Kamishna wa Polisi Zanzibar Musa Ally Musa


washtakiwa wote wamenyimwa dhamana kwani ni Jaji pekee ndie anayeweza kutoa dhamana kwa makosa yao lakini wana haki ya kukata rufaa kudai dhamana katika mahakama ya juu.
Na wale waliofanya vurugu na kushatarisha amani nchini huko Mbagala watafikishwa lini mahakamani?
 
Tunaomba dk shein aendelee hivohivo ,maana kuna watu wanataka kutumia dini ya mwenyezi mungu vibaya, kama wamezoea uarabuni basi sio tanzania. Vinginevyo wasajili vyama vya siasa tuelewe moja na si kutumia dini ya allah!

Mnamuomba Shein azidi kuwatumikia makafir...Shughuli hii itakua ya muda mrefu, tuombe salama tu.
 
Amenyolewa ndefu bila ridhaa yake? Au kaamua kunyoa mwenyewe ili ionekane anagandamizwa na serikali?

Mkuu gerezani ukishaingia huna ridhaa yako tena, ni masharti ya mkuu wa gereza kwa kwenda mbele na ukiingia kulala ni masharti ya Nyampara siku akiamua ulale karibu yake au karibu na rafiki yake yeye ndio mwamuzi hutakiwi kupinga
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Hadi rufaa ya dhamana ije isikilizwe hizo tigo zao zitakuwa zimeregea ka urojo,chezea dola weye!
 
Huna haja ya kujificha ...wewe utaamini kila aliyetkwa ambae mkristo...Kwa muislamu kwako wewe hana haki yeyote... Lakini sio nyakati hizi... Lolote baya atakalofanyiwa Seikh Farid ,ndio hilo hilo litawakuta Mapadri/Askofu/wachngaji.
duu mkuu kama waislamu wote tanzania tungekuwa hivo nchi ingewaka moto zaid, punguza jazba. Subra ni muhimu sana!
 
Back
Top Bottom