ungonella wa ukweli
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 4,210
- 555
Tunaomba dk shein aendelee hivohivo ,maana kuna watu wanataka kutumia dini ya mwenyezi mungu vibaya, kama wamezoea uarabuni basi sio tanzania. Vinginevyo wasajili vyama vya siasa tuelewe moja na si kutumia dini ya allah!