kwamwewe
JF-Expert Member
- Jul 15, 2010
- 1,801
- 541
alaa!kwa hiyo naye unataka kumfananisha na bwana farid ee!
ulitaka nimfananishe na Paulo???
alaa!kwa hiyo naye unataka kumfananisha na bwana farid ee!
alaa!kwa hiyo naye unataka kumfananisha na bwana farid ee!
nilijua labda ungumfananisha na mfalme mahadharidhajaulitaka nimfananishe na Mbowe au Slaa ???
nilijua labda ungumfananisha na mfalme mahadharidhaja
kwani huyu mfalme mahadharidhaja anafananishwa na mbowe au slaa
.....
Sina uhakika ambacho ninachojua ni kwamba anafanana na watu wa zamani kama yuda na ezra.[/Q
kama huna uhakika ni bora ukatafute bakuli la mbege unywe ulale
RAHA YA MBEGE KIBUYU KAKA!Sina uhakika ambacho ninachojua ni kwamba anafanana na watu wa zamani kama yuda na ezra.[/Q
kama huna uhakika ni bora ukatafute bakuli la mbege unywe ulale
Kumbe chalii bana, wangemnyoa na mustachi wake na kumpina para ngoto kabisa!
RAHA YA MBEGE KIBUYU KAKA!
uhakika unao hapo??? kumbe umefika nyumbani.
NAKUPA HEKO ,
USISAHAU KUWAKARIBISHA VIJANA WENZAKO WA CHADEMA KIJIWENI