arabianfalcon
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 2,285
- 584
Hapa kwetu kama kesi iko mahakamani ni mwiko kuiongelea na hasa kwenye vyombo vya habari. Hapa Kuna mama ambaye alikuwa rafiki ya Michael Jackson anaitwa Hilton anaongea na CNN kama anatoa ushahidi, hivi sheria za marekani zinasemaje?