February
Member
- Nov 15, 2011
- 90
- 21
Habari zilizopatikana hivi punde zinasema kuwa ile kesi ya mh kafulila nawajumbe wenzake watano wa halmashauri kuu ya chama hicho taifa akiwemo wakili hashimu rungwe aliyekuwa mgombea urais kwa chama hicho 2010 kesho itatajwa mahakama kuu ya tanzania kanda ya dar ambapo itaamuliwa kama ianze kusikilizwa lini kwa mara ya kwanza.