Kesi ya Hamad Rashid: CUF waitwa mahakamani wakajitetee "KWANINI WASIFUNGWE"

hasan124

JF-Expert Member
Jan 2, 2012
716
128
Ile tamthilia iliyotokea kujichukulia umaarufu mkubwa nchini na inayoendelea ya Anguko la chama cha wananchi CUF kisiasa, imechukua sura mpya siku kadhaa zilizopita baada ya Kamati Kuu ya Chama hicho kuamriwa na Jaji Agustino Shangwa kufika Mahakamani mnamo tar.21-June-2012 kujieleza "kwa nini wasifungwe kwa kukiuka Amri ya Mahakama na kuwatimua MHE. Hamad Rashid na Washirika wake?
Mtazamo halisi WA Kesi hii unaelekea kuielemea CUF baada ya wakili wao Taslima kuwasilisha Utetezi "DHAIFU" mbele ya Jaji husika hivyo tutaraji kumuona MHE. MAKAMU WA Kwanza WA Rais Zanzibar akiburuzwa mahakamani na ving'ora vyake kujitetea kwa nini asifungwe.

Source: mimi mwenyewe
ADC -DIRA ya Mabadiliko.
 
sheria msumeno

Ile tamthilia iliyotokea
kujichukulia umaarufu mkubwa nchini na inayoendelea ya Anguko la chama
cha wananchi CUF kisiasa, imechukua sura mpya siku kadhaa zilizopita
baada ya Kamati Kuu ya Chama hicho kuamriwa na Jaji Agustino Shangwa
kufika Mahakamani mnamo tar.21-June-2012 kujieleza "kwa nini wasifungwe
kwa kukiuka Amri ya Mahakama ya kuwatimua MHE. Hamad Rashid na Washirika
wake?
Mtazamo halisi WA Kesi hii unaelekea kuielemea CUF baada ya wakili wao
Taslima kuwasilisha Utetezi "DHAIFU" mbele ya Jaji husika hivyo tutaraji
kumuona MHE. MAKAMU WA Kwanza WA Rais Zanzibar akiburuzwa mahakamani na
ving'ora vyake kujitetea kwa nini asifungwe.

Source: mimi mwenyewe
ADC -DIRA ya Mabadiliko.
 
Anaburuzwa lini mahakamani?

Halafu bendera yenu mbona inafanana na ya CDM?
 
Anaburuzwa lini mahakamani?

Halafu bendera yenu mbona inafanana na ya CDM?

Kinachofanana ni rangi tu lakini muundo sio havifanani.......vinginevyo labda mngetushauri tutumie rangi ya Magamba ambayo kwa kweli tusingewaelewa KAMWE!! Kifupi tunaaleji nayo.
 
Hivi I.D.S bado hakijaolewa tu kama wenzao CUF wameolewa na CCM au I.D.S wanataka kuolewa na CDM?
 
Mkitaka kuwafunga huku Tanganyoka watahamia nchini kwao Zanzibar

Kikubwa discipline hapo, hata wasipofungwa ikadhihirika tu wao ndio wamepindisha sheria, then wakatandikwa hata fine itakua sawa tu......ni imani yangu kwa kuwa wako ktk Ndoa....Mr. Ccmfsdi hatokubali kumpoteza laazizi wake ilhali yy ndio kashikilia rungu.
 
Kinachofanana ni rangi tu lakini muundo sio havifanani.......vinginevyo labda mngetushauri tutumie rangi ya Magamba ambayo kwa kweli tusingewaelewa KAMWE!! Kifupi tunaaleji nayo.
Mkuu rangi za magamba ni rangi tu have nothing to do with your ideology and philosophy.
 
A.D.C lini na nyie mtafunga ndoa?

Suala sio kufunga Ndoa, hapa tunatizama nini wananchi wanahitaji......Ile SERIKALI ya umoja WA KITAARIFA Zanzibar ilitokana na kura za maoni kutoka kwa wananchi. Wananchi WA Zanzibar ndio waliamua wawe na SERIKALI ya Umoja WA Kitaifa, Tatizo hapa ni hawa Ndugu zetu WA CUF kushindwa kuwaelewesha waTz hali iliyopelekea kila aliyeambiwa wameolewa basi akaridhia. Narudi
 
Utetezi dhaifu wa wakili wa CUF ulikuwaje hebu tupe hints au ikiwezekana full doc.

Briefly ni kwamba aliwasilisha utetezi wao kwamba hawakupata ile court order in time.....kwa majibu WA wao ni kwamba court order ilifika wakiwa wameshafanya maamuzi Yao, lakini in Reality Court order ilitoka same day kwenye saa4 HIVi ASUBUHI na wao walifikia maamuzi ya kuwatimua Hon. Hamad na wenziwe by saa 9 mchaNA. At that time ile order ilishafika CUF Makamo Makuu pale Bugurini wakaikataa then wakili WA Hon. HAMAD Rashid akafanya jitihadi za kuwahi ndege na kupeleka Zanzibar ofisi za CUF ambapo ilipokelewa around saa7 mchaNA, ambapo Baraza kuu lilikua linaendelea na Kikao pale Masons Hotel. Inamaana hakukuwa na MAWASILIANO yeyote frm their office to that meeting? b4 that hukumu Yao feki?
Na hata muda waliomuita MHE. HAMAD Rashid kujieleza ambapo ilikua ni kwny saa 8hv mchaNA alifika na copy ya Order hiyo ya mahakama and still wakamjibu hawaitambui. So in reality hawana pa kuchomokea, They r just foolin theirselves.
Nitajitahidi nipate THA whole doc then niwamwagie hapa. Mpate kujua mbovu na Mbichi.
 
Briefly ni kwamba aliwasilisha utetezi wao kwamba hawakupata ile court order in time.....kwa majibu WA wao ni kwamba court order ilifika wakiwa wameshafanya maamuzi Yao, lakini in Reality Court order ilitoka same day kwenye saa4 HIVi ASUBUHI na wao walifikia maamuzi ya kuwatimua Hon. Hamad na wenziwe by saa 9 mchaNA. At that time ile order ilishafika CUF Makamo Makuu pale Bugurini wakaikataa then wakili WA Hon. HAMAD Rashid akafanya jitihadi za kuwahi ndege na kupeleka Zanzibar ofisi za CUF ambapo ilipokelewa around saa7 mchaNA, ambapo Baraza kuu lilikua linaendelea na Kikao pale Masons Hotel. Inamaana hakukuwa na MAWASILIANO yeyote frm their office to that meeting? b4 that hukumu Yao feki?
Na hata muda waliomuita MHE. HAMAD Rashid kujieleza ambapo ilikua ni kwny saa 8hv mchaNA alifika na copy ya Order hiyo ya mahakama and still wakamjibu hawaitambui. So in reality hawana pa kuchomokea, They r just foolin theirselves.
Nitajitahidi nipate THA whole doc then niwamwagie hapa. Mpate kujua mbovu na Mbichi.

Hata ukileta humu JF unapoteza muda wako tu wewe Hamadi Rashidi, vipi Pinda yupo? CCM ni noma sana wamewaoa CUF bado nyie au wewe unasubiri ndoa kwa CDM.
 
Mkuu rangi za magamba ni rangi tu have nothing to do with your ideology and philosophy.

Ofcoz ile ni rangi tu na ndio Maana haiku kuwa na option nyingine coz rangi zilizopo duniani ndio hizo hizo tu, tunatizama matakwa zaidi ya walio wengi, Kama ujuavyo chama cha kisiasa sio cha MTU mmoja hivyo ni vyema mkasikilizana na wengi wape, AMA hujui Hilo? Lakini pia uozo WA chama tawala ndio unaondoa Thamani ya rangi zile hasa katika Nyanja ya kisiasa. Lakini pia kumbuka kwamba ccm walijipangia Bendera Yao ile kutokana na Siasa za kipindi Kile, Siasa za mwalimu na washiriki wake, Siasa za chama kimoja, Siasa za Kijamaa.
imani ya mwalimu kwamba Nchi ilipatikana bila umwagaji damu, ndio Maana hawa kutoka hata kutumia rangi nyekundu kwa mfano. Lakini in reality kuna watu wengi tu washapoteza Maisha Yao wakitetea TAIFA Lao hili. Tangu Enzi za kina Kinjekitile hadi vita vya Nduli, mauaji ya wanaCUF ya 2001 hadi sasa tunavyoshuhudia Ndugu zetu Zanzibar wanavyochezea mabomu huko tangu jana.
 
Back
Top Bottom