Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,207
- 128,006
jamani tuko mbali na Arusha tupeli habari za kweli mbona kesi haikua inaonesha kua lema anazidiwa? imekuaje wakuu
Hizi ni utopian thinking.
Mashahidi wa CCM wameanza kukimbia, Ditaa mdogo wa Batilda analalamika masahahidi wa CCM wamekimbia.
CCM wanajitekenya alafu wanacheka wenyewe.