Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mabondia bado wanashikiliwa kule kule Mauritius mkuu
Ni kweli hata mimi sikumbuki kusikia.
Ninachokumbuka kusikia ni mbwembwe za polisi wakati wanapowalamata.
Baadaye tunakuja kuambiwa kwamba zile hazikuwa dawa za kulevya, bali ni unga wa ugali!
Ni baada ya miaka minne tangu akamatwe kwa tuhuma za kusafirisha dawa za kulevwa akishirikiana na mabondia wa timu ya taifa waliokamatwa huko Mauritius.
Mahakama ya Kisutu leo imemuachia huru Alhaj Salum Mwintanga kwa kukosekana ushahidi wa dhati katika kesi hii.
Ni pigo kwa serikali kutokana na udhaifu wa wanasheria wake au ndio namna watanzania wengi wanavyoonewa kwa kubambikiziwa kesi?
Just thinking aloud
@POMPO unataka kusema jamaa katoa rushwa? sidhani mkuu ukisema udhaifu wa wanasheria wa serikali nitakubaliana nawe
mabondia walishatoka mwaka jana mwishonimabondia bado wanashikiliwa kule kule Mauritius mkuu
Wapo waliofungwa hivi karibuni Mkoani Tanga na Jaji Kipenka Musa.
Precisely! Hilo ndilo jina nililokuwa nalitafuta, Akasha aliachiwa huru - he is dead now - kwa "kuhukumiwa" na magazeti!
Basi kama wale walishaachiwa kulikua hamna kesi hapo! Ukweli ni kwamba bado waandaa mashtaka wengi bongo ni bogus aidha kwa uzembe au wanajifanyisha makusudi kwa ahadi maalum
Mkuu, huyu jamaa alifungwa lakini miaka kumi ama 12 kama sijakosea na alimaliza kifungo chake ndipo akatolewa kama sijakosea
..... Nchi hii bwana! we acha tuuu! Maana yake ukiongea mengi utaambiwa unaingilia uhuru wa mahakama! ..........au iko mahakamani.... ndivyo tulivyo.... madawa ya kulevya yana maaajina mengi.... lakini jina kubwa ni unga.... ndo maana kesi nyingi ushahidi unakuwa haupo kwa kuwa unaweza kubadilisha huo unga ukawa unga kweli........... katika katiba mpya nimependekeza wanaokamatwa na maswala ambayo ni READ handed hakuna haja ya upelelezi.. wanapeleleza nini.... wakati mtu amekamatwa nacho? kwa wenzetu especially China .......... hukumu iko tayari ... kifo au miaka 70 .... hakuna longolongo.. sijui upelelezi.. dhamana NOOOOOOO!
Aliachiwa huruVipi kuhusu Akasha? au ulikuwa bado mtoto sana enzi hizo?
mabondia bado wanashikiliwa kule kule Mauritius mkuu
mbona hao mabondia walishaachiwa huru kitambo! mmojawapo ni EMILIAN PATRICK yule ambaye waTZ walishaanza kumchangia pesa ili akawakilishe vyema ktk mashindano ya OLYMPICS kule BEIJING mwaka 2008,ndo wakati anaenda kufanya maandalizi MAURITIUS akakumbwa na mkasa huo ila sasa yupo uraiani kitambo sana.