Mwana Mpotevu
Platinum Member
- Sep 7, 2011
- 3,295
- 2,500
Ni baada ya miaka minne tangu akamatwe kwa tuhuma za kusafirisha dawa za kulevwa akishirikiana na mabondia wa timu ya taifa waliokamatwa huko Mauritius.
Mahakama ya Kisutu leo imemuachia huru Alhaj Salum Mwintanga kwa kukosekana ushahidi wa dhati katika kesi hii.
Ni pigo kwa serikali kutokana na udhaifu wa wanasheria wake au ndio namna watanzania wengi wanavyoonewa kwa kubambikiziwa kesi?
Just thinking aloud
Mahakama ya Kisutu leo imemuachia huru Alhaj Salum Mwintanga kwa kukosekana ushahidi wa dhati katika kesi hii.
Ni pigo kwa serikali kutokana na udhaifu wa wanasheria wake au ndio namna watanzania wengi wanavyoonewa kwa kubambikiziwa kesi?
Just thinking aloud