Boney E.M.
JF-Expert Member
- Jan 22, 2007
- 425
- 35
Wana JF ile kesi tuliokuwa tukiisubiri kwa muda mrefu inayohusu ajali ya Chenge na Kibajaj ni leo katika Mahakama ya Kinondoni. Wale mlio karibu na huko tuhabarisheni tafadhali.
naomba mungu huyu chenge afungwe hata miaka elfu kumi kwa alivoitafuna tanzania