Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,550
- 6,062
KESI YA AKINA MRAMBA NAYO YAFUTWA
Baada ya Serikali kuwafutia kesi waliokuwa vigogo wa (BoT) akina Liyumba na Mwenzake, Brother Deus, kwa kile ilichodai kukosea kufungua mashtaka, na kuwapa kesi nyingine kama ile ya awali, waliokuwa Mawaziri waandamizi, Basil Mramba, Danieli Yona pamoja na Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Gray Mgonja, kesi yao leo ilifutwa baada ya mashtaka kukosewa. Licha ya kesi iliyokuwa ikiwakabili kufutwa, vigogo hao wamefunguliwa kesi nyingine kama hiyo, duh! kazi ipo.
Kutoka kushoto ni Basil Mramba, Danieli Yona wakiangua kicheko wakati wakishuka kizimbani na wa mwisho ni Gray Mgonja, yeye aliishia kutabasamu.
Waliofika kusikiliza kesi hiyo baada ya kuahirishwa kila mmoja alitoka huku akibwabwaja lake.
Huyu ndiye Profesa Leonard Shahidi, Wakili anayewapeleka puta Wanasheria wa Serikali katika kesi hiyo.
Yona na Mgonja (kushoto) wakirudi uraiani kula 'bata'.
PICHA: RICHARD BUKOS NA CHRISTOPHER LISSA
Habari kutoka Global Publisher
Kutoka kushoto ni Basil Mramba, Danieli Yona wakiangua kicheko wakati wakishuka kizimbani na wa mwisho ni Gray Mgonja, yeye aliishia kutabasamu.
Waliofika kusikiliza kesi hiyo baada ya kuahirishwa kila mmoja alitoka huku akibwabwaja lake.
Huyu ndiye Profesa Leonard Shahidi, Wakili anayewapeleka puta Wanasheria wa Serikali katika kesi hiyo.
Yona na Mgonja (kushoto) wakirudi uraiani kula 'bata'.
PICHA: RICHARD BUKOS NA CHRISTOPHER LISSA
Habari kutoka Global Publisher