Kesi ya ajali ya Meli Zanzibar yasitishwa

rbsharia

Member
Sep 14, 2011
41
6
Jackson Odoyo, Zanzibar
KESI ya ajali ya meli ya MV Spice Islanders iliyofunguliwa dhidi ya manahodha wa meli hiyo na mmiliki wake, imesitishwa.Kesi hiyo ambayo jana ilitajwa kwa mara ya pili katika Mahakama Kuu ya Zanzibar, imesitishwa kupisha uchunguzi wa kamati iliyoundwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohamed Shein.

"Mmmmmhhhhhhhhhhhhhhhhh..................!!!!!!!!!!!!!"
 
Back
Top Bottom