bibikuku
JF-Expert Member
- Feb 16, 2011
- 832
- 495
Swali ni kwamba, Lema atashiriki mkutano ujao wa bunge mwezi April Dodoma ama ndio mwisho wa safari na tujiandae tena kwa uchaguzi mdogo? Hukumu ya kesi yake sasa inatolewa Tarehe 5 mwezi ujao. Pande zote mbili zimemaliza kutoa ushahidi wake na kila upande umemaliza kutoa maelezo ya mwisho ya kesi.