mkute
Member
- Jan 12, 2011
- 80
- 12
Kesi inayowakabili aliyekuwa waziri wa fedha ktk serikali ya awamu ya tatu na mwenzie Daniel Yona kwa matumizi mabaya ya ofisi na kuisababishia serikali yetu hasara kubwa,haijulikani ilikoishia kwani haijulikani kama ipo au imekwisha.
Kesi hii iliyokuwa na mvuto mkubwa hasa kabla ya kipindi cha uchaguzi 2010 imeacha maswali mengi mara baada ya uchaguzi kumalizika kwani haisikiki tena,kiasi wananchi kujiuliza labda ilikuwa ni janja ya kisiasa tu ili kurejesha imani kwa wapiga kura kuwa serikali yao inawajibika na kumbe ni danganya toto! YOU CAN FOOL ALL PEOPLE FOR SOMETIME,BUT YOU CAN'T FOOL ALL PEOPLE ALL THE TIME! sasa watanzania tuamke,tuache woga,tutetee haki zetu,tuondokane na utumwa wa fikra,tujinasue na utawala wa kisanii,tupambane ili kuonyesha sisi si kizazi cha enzi za elimu ya watu wazima,tujue wajibu wetu nini,kwanini tufanywe wajinga? na wakati tunaakili,kufa nini? ni heri kufa unajaribu,kuliko kuishi bila matumaini!
Kesi hii iliyokuwa na mvuto mkubwa hasa kabla ya kipindi cha uchaguzi 2010 imeacha maswali mengi mara baada ya uchaguzi kumalizika kwani haisikiki tena,kiasi wananchi kujiuliza labda ilikuwa ni janja ya kisiasa tu ili kurejesha imani kwa wapiga kura kuwa serikali yao inawajibika na kumbe ni danganya toto! YOU CAN FOOL ALL PEOPLE FOR SOMETIME,BUT YOU CAN'T FOOL ALL PEOPLE ALL THE TIME! sasa watanzania tuamke,tuache woga,tutetee haki zetu,tuondokane na utumwa wa fikra,tujinasue na utawala wa kisanii,tupambane ili kuonyesha sisi si kizazi cha enzi za elimu ya watu wazima,tujue wajibu wetu nini,kwanini tufanywe wajinga? na wakati tunaakili,kufa nini? ni heri kufa unajaribu,kuliko kuishi bila matumaini!