sinafungu
JF-Expert Member
- Feb 13, 2010
- 1,524
- 863
Salaam wenzangu , jamani naomba kujua hivi ile kesi ya matumiza mabaya ya madaraka iiliyokuwa ikimuhusu mhe Basil pesambili Mramba, DR Yona na yule katibu mkuu mstaafu wa wizara ya mahela. muendelezo wake ukoje ama ndo ilikuwa kiini macho (changa la macho). .. tujuzane mwenye taarifa yoyote.