Kesi ya Udunguaji wa Helikopta imechukua muda mfupi sana

tikatika

JF-Expert Member
May 6, 2011
2,330
4,115
Sijui historia vizuri kwa upande wa mahakama!! Lakini hapa jamvini kuna watu tofauti tofauti.

Kuna wale jamaa walio tungua ndege wamepatikana fasta japo walifanya tukio porini sijui kwa vile alitunguliwa ni mzungu !! Sijui!!
Kesi yao hata wiki haijaisha wameishapewa miaka.

Kuna wauji wa albno, Mwangosi.
Kuna waliomuua Mawazo wa CHADEMA peupe tena mchana na sio porini ni kitaa!! Hadi leo hawajapatkana.

Kesi za mauaji inaweza anza kusikilizwa labda miaka mitatu. Kinyume cha hapo upelelezi haujakamilika.

Tanzania tumeanza staili ya ubaguz wa rangi au fedha??
 
ni kweri hii kesi imenishangaza sana ilivyoenda faster lkn lbda imechangia kwa watuhumiwa kukili makosa yao bila pulukushani ila hukumu ya mauaji bado haijatolewa 7bu mahakama ile haina uwezo wa kusikiliza kesi za maujaji
Vipi kuhusu hukumu ya yule kijana Josef mlundi aliyeenda kwa mchana. Gwajima, yaani kijana wa Kova, Vipi hukumu ya wale magaidi wa msikitini Kilombero, Vipi wale magaidi wa sitakishali, Vipi wale magaidi wa Ushirombo walioteka kituo cha polisi wilaya waliouwa asikari polisi na kuchukua silaha, Vipi yule gaidi Rwakatale Wilifred kwa sasa ni mbunge wa Bukoba mjini, Vipi yule gaidi wa Igunga Henry kireo, Vipi kesi ya kupigwa na kuvuliwa hijabu mkuu wa Wilaya ya Igunga mama kimario, hukumu zao zimesha fanyika? Tahadhali kesi ikishafika mahakamani, hapaswi kujadiliwa mahakamani. Mweeeeeeeeeeeeereeeeereeeh!
 
Vipi kuhusu hukumu ya yule kijana Josef mlundi aliyeenda kwa mchana. Gwajima, yaani kijana wa Kova, Vipi hukumu ya wale magaidi wa msikitini Kilombero, Vipi wale magaidi wa sitakishali, Vipi wale magaidi wa Ushirombo walioteka kituo cha polisi wilaya waliouwa asikari polisi na kuchukua silaha, Vipi yule gaidi Rwakatale Wilifred kwa sasa ni mbunge wa Bukoba mjini, Vipi yule gaidi wa Igunga Henry kireo, Vipi kesi ya kupigwa na kuvuliwa hijabu mkuu wa Wilaya ya Igunga mama kimario, hukumu zao zimesha fanyika? Tahadhali kesi ikishafika mahakamani, hapaswi kujadiliwa BUNGENI Mweeeeeeeeeeeeereeeeereeeh!
 
Sijui historia vizur kwa upande wa mahakama!! Lakn hapa jamvin kuna watu tofaut tofaut.

Kuna wale jamaa walio tungua ndege wamepatkana fasta japo walifanya tukio polin sijui kwa vile alitunguliwa ni mzungu !! Sijui!!
Kes yao hata wiki haijaisha wameishapewa miaka.

Kuna wauji wa albno,
mwangos.
Kuna waliomuua Mawazo wa chadema peupe tena mchana na sio polin ni kitaa !! Had leo hawajapatkana.

Kes za mauji unaweza anza kusikilizwa labda miaka mitatu . Kinyume cha hapo upelelez haujakamilika.

Tanzania tumeanza staili ya ubaguz wa rang au fedha???????

sorry na pole sana kwa mawazo finyu, mkiambiwa mna akili za ngedere huwa mnakataa na kutukana matusi, ila mara nyingi haijalishi una elimu gani, unafanya kazi gani, jinsia gani, umesoma level gani na unajulikana vipi! umethibitisha katu kuwa una matatizo ya akili

watuhumiwa walituhumiwa, wakafikishwa mahakamani, wakakubali asilimia 100% kuhusika na mauaji. Naomba uniambie kama wewe ni jaji utafanya nini??

kesi zinakuwa complicated pale mtuhumiwa anapokana shtaka

@#$$^&* alaaah!
 
ni kweri hii kesi imenishangaza sana ilivyoenda faster lkn lbda imechangia kwa watuhumiwa kukili makosa yao bila pulukushani ila hukumu ya mauaji bado haijatolewa 7bu mahakama ile haina uwezo wa kusikiliza kesi za maujaji
jibu hilo hapo juu linakuhusu

acheni ujinga
 
Sijui historia vizur kwa upande wa mahakama!! Lakn hapa jamvin kuna watu tofaut tofaut.

Kuna wale jamaa walio tungua ndege wamepatkana fasta japo walifanya tukio polin sijui kwa vile alitunguliwa ni mzungu !! Sijui!!
Kes yao hata wiki haijaisha wameishapewa miaka.

Kuna wauji wa albno,
mwangos.
Kuna waliomuua Mawazo wa chadema peupe tena mchana na sio polin ni kitaa !! Had leo hawajapatkana.

Kes za mauji unaweza anza kusikilizwa labda miaka mitatu . Kinyume cha hapo upelelez haujakamilika.

Tanzania tumeanza staili ya ubaguz wa rang au fedha???????
Kabla ya hiyo kesi ya mauaji iliyo kuwa ina shika rekodi ni ya Peter Rupia mtoto wa Balozi Rupia aliye kuwa katibu mkuu ofisi ya Rais ili kuwa ya aina yake toka mwanzo hadi mwisho ilichezwa vilivyo na akatemwa.
 
Wakubwa tujifunze kusoma na kusikiliza kwa umakini, kwanza mtu akikubali kosa kinachofuata ni hukumu pili wamehukumiwa kwa kosa la kumiliki silaha hisivyo na bado shitaka la kuua
 
Inawezekana jamaa wamekiri kwa kichapo tu. Manake nakumbuka kuna siku nilikaa na washkaji wangu kumbe wale jamaa walikuwa wameshaiba sehemu mara mwela hao. wale wezi wakasepa nilibaki mimi na msela wangu tukabebwa mpaka kituo cha polisi nilipelekwa kwenye chumba na askari mmoja akafunga mlago akaanza kuniuliza kwa nini tumeiba na vitu viko wapi. nikamwambia sijui kitu mie hapo nilikoma nilikula mboko kwa masaa mawili mpaka mdigi akaja kumuona mzee wakaomba samahani nikaachiwa hapohapo lakini sikupata usingizi kama siku mbili mgongo wote ulichanika. kwahio hao jamaa kukiri makosa sioni jipya watakuwa wamekula kichapo kama wakati wa wale jamaa waliokuwa wakiteswa na majeshi wakati wa operesheni ya majangili.
 
Sijui historia vizur kwa upande wa mahakama!! Lakn hapa jamvin kuna watu tofaut tofaut.

Kuna wale jamaa walio tungua ndege wamepatkana fasta japo walifanya tukio polin sijui kwa vile alitunguliwa ni mzungu !! Sijui!!
Kes yao hata wiki haijaisha wameishapewa miaka.

Kuna wauji wa albno,
mwangos.
Kuna waliomuua Mawazo wa chadema peupe tena mchana na sio polin ni kitaa !! Had leo hawajapatkana.

Kes za mauji unaweza anza kusikilizwa labda miaka mitatu . Kinyume cha hapo upelelez haujakamilika.

Tanzania tumeanza staili ya ubaguz wa rang au fedha???????
 
Sijui historia vizur kwa upande wa mahakama!! Lakn hapa jamvin kuna watu tofaut tofaut.

Kuna wale jamaa walio tungua ndege wamepatkana fasta japo walifanya tukio polin sijui kwa vile alitunguliwa ni mzungu !! Sijui!!
Kes yao hata wiki haijaisha wameishapewa miaka.

Kuna wauji wa albno,
mwangos.
Kuna waliomuua Mawazo wa chadema peupe tena mchana na sio polin ni kitaa !! Had leo hawajapatkana.

Kes za mauji unaweza anza kusikilizwa labda miaka mitatu . Kinyume cha hapo upelelez haujakamilika.

Tanzania tumeanza staili ya ubaguz wa rang au fedha???????
 
jibu hilo hapo juu linakuhusu

acheni ujinga
pumba sana wewe ndo mjinga sasa pamoja na kueleza maelezo mazuri ila ni mjinga sababu wewe ni mjinga na utabaki kuwa mjinga

KUULIZA SI UJINGA BALI KUTAKA KUJUA !!
mtoa mada kauliza anataka kujua
na mimi uwa sikurupuki kuandika vitu nisivyovielewa siku nyingine tumia busara acha kuita wezako wajinga wakati wewe ndo mjinga mkuu
 
Sijui historia vizur kwa upande wa mahakama!! Lakn hapa jamvin kuna watu tofaut tofaut.

Kuna wale jamaa walio tungua ndege wamepatkana fasta japo walifanya tukio polin sijui kwa vile alitunguliwa ni mzungu !! Sijui!!
Kes yao hata wiki haijaisha wameishapewa miaka.

Kuna wauji wa albno,
mwangos.
Kuna waliomuua Mawazo wa chadema peupe tena mchana na sio polin ni kitaa !! Had leo hawajapatkana.

Kes za mauji unaweza anza kusikilizwa labda miaka mitatu . Kinyume cha hapo upelelez haujakamilika.

Tanzania tumeanza staili ya ubaguz wa rang au fedha???????
Wale wamehukumiwa kwa makosa ya ujangili na kupatikana silaha kinyume cha sheria. Walikutwa na pembe za ndovu na walipofikishwa mahakamani, walikiri kuua tembo, mulatikana na nyara za serikali na kukodi bunduki kwa wamiliki halali kwa ajili ya ujangili.

Kesi ukisha kiri, haihitaji kuita mashahidi lkn kama wangekana ingelazimika kuita mashahidi hivyo muda ungetumika mrefu zaidi.

Kuhusu tuhuma za mauaji, sio wote wanaotuhumiwa, kwa mujibu wa taarifa ile ni watu wawili tu waliotuhumiwa kuua yule rubani, na mtunguaji naye kwenye mahojiano alikiri.

Kesi bado haijaamliwa kwani mahakama ya hakimu mkazi haina mamlaka ya kuamua kesi za mauaji. Hadi ipangiwe vikao vya mahakama kuu yaani jaji aje aisikilize.

Pole kwa kuwa na taarifa potofu
 
pumba sana wewe ndo mjinga sasa pamoja na kueleza maelezo mazuri ila ni mjinga sababu wewe ni mjinga na utabaki kuwa mjinga

KUULIZA SI UJINGA BALI KUTAKA KUJUA !!
mtoa mada kauliza anataka kujua
na mimi uwa sikurupuki kuandika vitu nisivyovielewa siku nyingine tumia busara acha kuita wezako wajinga wakati wewe ndo mjinga mkuu
Mkuuu ukisoma btn lines, amechukua majibu yako kumjibu mleta uzi, hivyo kwa kutumia jibu lako ndo amemuita mleta mada mjinga na kumtaka asome majibu uliyompa. Hajasema wewe ndo mjinga mzee in ngosha voice
 
Mkuuu ukisoma btn lines, amechukua majibu yako kumjibu mleta uzi, hivyo kwa kutumia jibu lako ndo amemuita mleta mada mjinga na kumtaka asome majibu uliyompa. Hajasema wewe ndo mjinga mzee in ngosha voice
ooooh mr ntamaholo shukrani kwa kunielewesha unajua ni usiku wa manane huu nimekurupuka usingizini na kuandika hovyo

mkuu waberoya KUMRADHI nilielewa vibaya post yako

 
Nalijua hilo kwamba kes moja bado , lakn usijitie kipofu kwamba huon kilichotokea. Wamehukumiwa makosa kwa siraha iliyotumika kuua maana yake wamepatikana na kosa la kuua .

Huwez kumtia mtu hatian kwa kupatkana na kosa la kudungua denge akakosekana na kosa la mauaji. Ameshindwa kufanya hvyo yule hakmu coz mahakama haina mamlaka hiyo!!

Lakn swali liko zaid ya moja.
Walioua porin wamepatkana mbona walioua hadharan (mtaan) hawapatkan??????
Waliomteka ulimboka aliwataja na hawakukamatwa!!
Walimuua mwangos peupe mpaka leo hukumu haijapatkana .
Jibu na maswali kama haya !!
Swali kwa vile aliyedunguliwa ni mzungu????
 
Back
Top Bottom