napenda kuwaomba wapendwa na wanawema wa tanganyika kua sasa jamii imechoka na kwa heshima mwenykititi akiwa hapa atauongoza kutoa heshima za mwisho kwa ndugu zetu hapa arusha nao ni mashujaaa wa karn ila damu yao na udugu wote tutaukumbuka Mungu warehemu na wabe adhabu mamlaka hiyo