MaxShimba
JF-Expert Member
- Apr 11, 2008
- 35,772
- 4,054
Maulid ni kumbukumbu ya kuzaliwa kwa mtume mtukufu Muhammad s.a.w. Dunia nzima waislamu huiadhimisha siku hii ndio maana na hapa nchini hakutokuwa na kazi KESHO.
Hakuna ayat hata moja kwenye Koran inayo waruhusu kufanya hivyo. Hii ni sikuku mliyo jipangia wenye bila ya ruksa ya Marehemu Muham-mad allah wenu.