Jina la Mtangazaji wa itv zanzibar!Maulidi ni nini?
Jina la Mtangazaji wa itv zanzibar!
Acheni masikhara.....Jina la Mtangazaji wa itv zanzibar!
Mawlid ni neno la kiarabu lilitokana na kitendo cha kuzawa kwa kidhungu (to give birth).
Maulidi ni nini?
Taarifa rasmi iliyotolewa na BAKWATA ni kuwa siku kuu ya maulid iliswaliwa Jumatano tarehe 16/02/11 mgeni rasmi ni mzee wetu rais mstaafu A.H.MWINYI.
Nadhani unakusudia itaswaliwa
Kabla ya kuzawa mtume Muhammad S.A.W babu yake mzaa baba yake alieitwa Abdul-mutwalib ..huyu mzee aliweka nadhiri kua iwapo atapojaaliwa kuwapata watoto wa kiume kumi atamchinja mtoto mmoja.
What's ur doubt?IS it true?
mkuu acha dharau..................
Maulidi ni nini?