MESTOD
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 4,798
- 2,003
Maamandamamo na migomo haitaisha TZ. bado wafanyakazi wanakuja. Tusubiri Dowans walipwe. Nchi itawaka moto.
Na mimi naanzisha mgomo mwingine. hizi foleni zinakost sana, jei kei na wenzake nao wakae foleni ili waone adha halisi ya foleni siyo kuimba ngonjera kwenye majukwaa bila kuboresha miundo mbinu ili foleni ziende. nchi hii bwana, kila kitu uchuro na kero tu.