Mwanaharakatihuru
JF-Expert Member
- Mar 21, 2012
- 477
- 120
Maandamano ya amani kesho utune clouds, bbc,RFA na Aljazeera watakuwepo. Haijawahi tokea kwenye historia ya hii nchi mwanzo wa mwisho
Maandamano ya amani kesho utune clouds, bbc,RFA na Aljazeera watakuwepo. Haijawahi tokea kwenye historia ya hii nchi mwanzo wa mwisho
yanahusu nini?yataishia wapi?jee polisi wataruhusu? najua waislam hawaitaji ruhusa,hawaogopi kufa wala mabomu
he he he anders batta mzima wewe?? mbona jazba mdogo wangu? mom hajambo?Maandamano ya nini..? yana lengo gani?? Ubungo mataa saa ngapi?? kuelekea wapi??? watu mnakurupuka hata kuchamba hamchambi mnatuandikia *****..ningekua mod mngejuta kuzaliwa..mppssxxyy
he he he anders batta mzima wewe?? mbona jazba mdogo wangu? mom hajambo?