Salam wanajamv, wakaz wa Tukuyu mjni wilaya ya Rungwe munaarifiwa kuwa kesho Tarehe 21/08/2013. Kutakua na mkutano mkubwa wa CHAMA CHA DEMOKRASIA CHADEMA, Ktk viwanja vya Tandale-Tukuyu mjini, kuanzia saa nane mchana, nitajitahidi kuwapa updates na picha.
Nadhani bado mawasiliano hayajawa vizuri: kesho muda huo atakuwa Sumbawanga Mjini: chopa inafanyiwa matengenezo madogo PALE KIGOMA kwa sasa. kwa hiyo ratiba imeingiliana kiasi. Jaribu kupata habari ya Uhakika zaidi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.