I J NJOVU
JF-Expert Member
- Oct 22, 2015
- 3,181
- 10,490
"hahahaa akakope Shirika la nyumba..."-jokeYeye anayo??
"hahahaa akakope Shirika la nyumba..."-jokeYeye anayo??
"Na ka pedi, mkuu"mpelekee chupi nyeusi na nyekundu tu.
Umeona eeh! Kweli wa hivi wachache mwenzangu
Tena unamshika kwa mikono na miguu yoteYaani ukimpata na sadaka ya shukurani inahusika.
Ahsante...ijumaa yangu inaisha freshhhhhhhhhhh. Yani watu kama nyie, basi tu tehCHUKUA KARATASI KUBWA AU YA SIZE,
IANDIKE UJUMBE MZURI KWA KUTUMIA MARKERPEN ya rangi yoyote anayoipenda (mfano I LOVE YOU MY ANGEL,I WISH YOU LONG AND SUCCSESSFUL LIFE)
Namaanisha andika ujumbe kwa maandishi makubwa yanayoonekana kwa urahisi zaidi,
kisha Wachukue marafiki zako kadhaa au hata watu wako wa karibu, ni vizuri zaidi ukawachukua wale anaowajua, na kisha waeleze kuhusu dhumuni lako la kutaka kumsuprize mpenzi wako,
MKISHAKUWA TAYARI SASA
CHUKUA SIMU AU CAMERA JIRECORD VIDEO UKIWA UMELISHIKA LILE BANGO UKIWA NA MARAFIKI ZAKO MKIFURAHI HUKU MKIMWIMBIA WIMBO MZURI WA HAPPY BIRTHDAY, hapo unaweza ukajirecord huku umevaa vile vijikofia vya Birthday,,,..
KISHA UKISHAKAMILISHA MTUMIE HIYO VIDEO
nadhani akiiona atajua jinsi unamjali na umeamua kufurahia siku yake ya muhimu pamoja naye.
ALL THE BEST MKUU
Khaaaaa jamani nyie watu MNA tabu sanaMtambulishe kwa Demu wako Mwingine
dildo ndo zawadi nzuri atakayokuwa anaikumbuka kila wakatiMnunulie kitu anachopenda sanaaa ili akikiona awe anakukumbuka
mama yake ni mwanaume?Mkuu wanawake Hawana shukrani hata umfanyie Nini!! Kama unapesa Mtumie mama yako, halafu huyu binti Mwambie tu "Happy birthday" Zawadi ninayo utaipata siku tukikutana.
Ushamuita MAMA, mwanamke linakujaje?? Hivi unafikiri wanaume tunawachukulia mama zetu ni "wanawake" ?? Sisi tunaona mama zetu ni "miungu us kidunia" in ujinga Sana kumuweka mama mzazi ktk group la "wanawake", mbaya zaidi wa siku hizi.mama yake ni mwanaume?