Kwanini hela na sio sms!Wanaume kama ninyi ni nadra sana! shoga ajivunie kuwa nawewe.....kwa kuwa mko mbali mtumie pesa tu angelikua karibu ungempatia kitu ambacho akikiona atakukumbuka.
Usipoteze hela yako bure kwa huyo cha wote. Siku zoote akae anasubiri zawadi yako kwani mwanaume upo pekeyako. Watu tunatoa huduma kilasiku wewe mwaka hadi mwaka.Bwana yesu asifiwe watanganyika wenzangu?
Naomba kuambiwa nini cha kufanya, niko kwenye mahusiano ya kimapenzi na binti mmoja{hawa mabinti wa dot com}kesho ni siku yake ya kuzaliwa, tunaishi mikoa miwili tofauti, ye yuko Dar na me niko Arusha, Sasa nataka kumfanyia suprise kwenye hiyo birthday yake.
Je naweza kumfanyia nini ambacho kitamfurahisha ili walau atambue kuwa ingawa tuko mbali but kwa kiasi flani namjali na kumthamini?
"Mnunulie Nyumba.."Bwana yesu asifiwe watanganyika wenzangu?
Naomba kuambiwa nini cha kufanya, niko kwenye mahusiano ya kimapenzi na binti mmoja{hawa mabinti wa dot com}kesho ni siku yake ya kuzaliwa, tunaishi mikoa miwili tofauti, ye yuko Dar na me niko Arusha, Sasa nataka kumfanyia suprise kwenye hiyo birthday yake.
Je naweza kumfanyia nini ambacho kitamfurahisha ili walau atambue kuwa ingawa tuko mbali but kwa kiasi flani namjali na kumthamini?
Yeye anayo??"Mnunulie Nyumba.."
Umeona eeh! Kweli wa hivi wachache mwenzanguWanaume kama ninyi ni nadra sana! shoga ajivunie kuwa nawewe.....kwa kuwa mko mbali mtumie pesa tu angelikua karibu ungempatia kitu ambacho akikiona atakukumbuka.
NimeipendaCHUKUA KARATASI KUBWA AU YA SIZE,
IANDIKE UJUMBE MZURI KWA KUTUMIA MARKERPEN ya rangi yoyote anayoipenda (mfano I LOVE YOU MY ANGEL,I WISH YOU LONG AND SUCCSESSFUL LIFE)
Namaanisha andika ujumbe kwa maandishi makubwa yanayoonekana kwa urahisi zaidi,
kisha Wachukue marafiki zako kadhaa au hata watu wako wa karibu, ni vizuri zaidi ukawachukua wale anaowajua, na kisha waeleze kuhusu dhumuni lako la kutaka kumsuprize mpenzi wako,
MKISHAKUWA TAYARI SASA
CHUKUA SIMU AU CAMERA JIRECORD VIDEO UKIWA UMELISHIKA LILE BANGO UKIWA NA MARAFIKI ZAKO MKIFURAHI HUKU MKIMWIMBIA WIMBO MZURI WA HAPPY BIRTHDAY, hapo unaweza ukajirecord huku umevaa vile vijikofia vya Birthday,,,..
KISHA UKISHAKAMILISHA MTUMIE HIYO VIDEO
nadhani akiiona atajua jinsi unamjali na umeamua kufurahia siku yake ya muhimu pamoja naye.
ALL THE BEST MKUU