Kesho ni BANKERS' DAY

Kiranja Mkuu

JF-Expert Member
Feb 18, 2010
4,059
4,053
Mwaka jana tulipata usumbufu sana baada ya mabenki kuto funguliwa kutokana na hii siku yao ya kufanya mahesabu yao ya mwaka.
Tujihadhari, hamna taarifa rasmi zenye kutuelekeza tufanye nini.
Wenye mahitaji ya kifedha muende kwenye mashine kungali mapema.
 
Mwaka jana tulipata usumbufu sana baada ya mabenki kuto funguliwa kutokana na hii siku yao ya kufanya mahesabu yao ya mwaka.
Tujihadhari, hamna taarifa rasmi zenye kutuelekeza tufanye nini.
Wenye mahitaji ya kifedha muende kwenye mashine kungali mapema.

Thanx.....
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom