BATA HATA KWA WATU WENGI LAZIMA AHARISHE TU.......Kifulambute
nimeishi naye nyumba moja miaka 2ka hivo ni ke wangu kisheria na mahari nusu nimelipa
hahahah nambie Dreamliner....hili sio jukwaa la midundiko bwana we're great thinkers who dare to talk and think beyond reasonable doubt sasa sijui huyu kijana anatumia masaburi gani kufikiria.
dogooo...kua uyaonae.. KAMA ILIVYO NA INAVYOFAHAMIKA KUWA MPENZI WA MAMA/BABAKO NI BABA/MAMAKO UTAKE USITAKE NA HAIJALISHI UMRI WA MPENZI HUYO HATA AKIWA MDOGO KAMA MWANAO......viyo hivyo.....HAWARA HAFUMANIWI MKE/MUME HALALI TUU NDIYE ANAYEFUMANIWA
Ukimfumania mpe talaka..nimeishi naye nyumba moja miaka 2ka hivo ni ke wangu kisheria na mahari nusu nimelipa
Unaweza kumfumania mkewe tu sio 'MANZI' wasikusikie watu. Kakushinda achana nae.KUNA mtu mmoja nilizikamata sms za malovie kwa mpenzi wangu wakijibizana ,nikazunguka kitaa nikapata full detail jamaa anamtafuna mpenzi wangu baa fulani sasa kesho nimekuta sms kuwa watakutana pale jion na tayali huyu manzi nikamuomba nitoke naye kanipa sababu lukuki nikajifanya understanding.Sasa waungwana ninahakika kwan nshachunga na muhudumu wa gesti ,je nikiwabamba nifanyaje ? inaniuma sana.
Wewe unaweza??Mnyofoe kikojoleo chake.
Wewe unaweza??