Tuko
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 11,178
- 7,319
Boss wao ndo ivo kaondoka kwenye uongozi wa CCM huku akirusha madongo kibao. Mtanzania walikuwa watu wa kuibeba sana CCM. Je wataungana na Boss wao kuanza kuiponda? Je hili ni pigo kwa CCM? Je CCM walitathmini hili kabla wa kumwambia RA ajivue gamba? Na je, ukiacha Uhuru na Habari Leo, CCM itabebwa tena na gazeti gani, hasa ukizingatia Boss wa Jamba Leo nae anaonekana kuwa karibu na Rostam? Haya maswali majibu yake ni very interesting.