Baada ya kuhojiwa na waandishi wa habari kuhusu tetesi za mawaziri kadhaa kujiuzuru nyadhfa zao Mh. Waziri Mkubwa aliahidi suala hili litajulikana j3. Hivyo mpaka sasa yawezekana watu wamesika ndivyo sivyo na yeye ndio ataetoa tamko rasmi kama ni kweli au la!
Mungu ibariki Tanzania.
Mungu ibariki Tanzania.