CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 930
Eti wewe ukiamka kesho asubuhi mara unaona namba ngeni juu ya screen ya simu yako,ukiipokea unakuta ni mh JK anaomba msaada wako juu ya kumpa majina 10 ya wana ccm safi ili ayapeleke NEC kwa ajiri ya kumpata mgombea 1 wa nafasi ya urais uchaguzi mkuu ujao kupitia ccm wewe utampa majina gani?
1.
2.
3.
4.
5.
6.
7.
8.
9.
10.
1.
2.
3.
4.
5.
6.
7.
8.
9.
10.