kiukweli inaboa na inakera,serikali ilitangaza kuwa zoezi la sensa litakalofanyika tarehe 26.8.2012 litafanywa na walimu ambao watapewa kipaumbele,cha kushangaza walimu hao wengine hawakupewa nafasi hizo na badala yake wamepewa wasiokuwa na sifa za ualimu na pia walitangaza katika baadhi ya halmashauri mfano halmashauri ya kigoma vijijini kuwa watu walioomba hawatoshi hivyo waliagiza maombi yatumwe kwa mara ya pili na watu wakatuma lakini baadhi ya walimu hawakupata nafasi, hii nini sasa? walimu wengi wamechakachuliwa,inaboa sana