Makame
JF-Expert Member
- Jan 3, 2008
- 512
- 60
Muungano wa Tanzania, Haukuja kwa kutania, Viongozi wake walidhamiria, kuimarisha udugu wa asilia;
Hata uamsho wakilia, na hasan nasor moyo kuwasaidia.
BLW pia likiwasaidia, hapatakua na maridhia; Juliasi Mwalimu alituambia, na Sheikh Karume alituusia;
Tumeungana kwa nzuri nia, kutengana kutaleta udhia.
Tuuenzi Muungano wetu, Bara na Visiwani PIA.
MIMI nasema kuna KERO ZA MUUNGANO
KERO hizi za MUUNGANO zinahusu ZAnzibar na Zinahusu TaNganyika.
TUZIFANYIE KAZI KERO HIZO
SIO KUVUNJA MUUNGANO
Hata uamsho wakilia, na hasan nasor moyo kuwasaidia.
BLW pia likiwasaidia, hapatakua na maridhia; Juliasi Mwalimu alituambia, na Sheikh Karume alituusia;
Tumeungana kwa nzuri nia, kutengana kutaleta udhia.
Tuuenzi Muungano wetu, Bara na Visiwani PIA.
MIMI nasema kuna KERO ZA MUUNGANO
KERO hizi za MUUNGANO zinahusu ZAnzibar na Zinahusu TaNganyika.
TUZIFANYIE KAZI KERO HIZO
SIO KUVUNJA MUUNGANO