sasa sharti la kuwa toa 50000 ndio nikupe kadi si ni sawa na kiingilio tu!
mtu na afanye harusi kwa mujibu wa kipato chake .............kulazimisha wenziwe kumchangia ni tabia za ajabu tu. Hapo unamlazimisha na mtu kuvaa wenyewe wanaita theme color!
akanunue nguo ya rangi hiyo unayotaka na vikorombweza vyake na kisha alipe na kiingilio! .......mimi harusi za sare kwanza huwa siendi pia.....nimemaliza primary zamani, uniform basi kwa kweli
hahaaa G unanichekesha sana aisee lol!!
suala la kufanya harusi kulingana na kipato watu naona halijawaingia akilini bado. tena mi naona hii inakufanya uwe 'stress free' kabisa. Plan it they way you can afford it, usiwe mzigo kwako mwenyewe na kwa wengine pia!!!
una uwezo fanya hata sie waalikwa wote utupe zawadi za dhahabu from tiffany za kuondoka nazo...........huna usituongeze gharama maisha magumu.
ubatizo ukafanye kwenye hall kwa kutumia pesa ya mwenzio.................na mara nyingi wenye kufanya vitendo hivi ni mama wa nyumbani, wenye kwenda kazini kidogo wana afadhali
Kama ujajenga, tafuta kiwanja anza mara moja ujenzi ... usisubiri ifike milioni anza na hio laki nne !!!
Ukifikiria nyumba inahitaji mfuko wa saruji na at the same time kuna kadi ya ubatizo inahitaji 50,000 eti salio la chini !!!
Mimi kuna viself 2 nimeanza kujenga makusudi kipindi hiki cha kuelekea mwisho wa mwaka ili kukabiliana na
hizi card za viingilio maana kwa sasa ninazo kama sita for the next month, nazipiga kumbo zote kwenye nyumba...
i remember to do a simple function only with my family and few friends BILA kuchangisha coz sikutaka stress za kuchangisha watu...kilichofuatia ni lawama from "not invited" tena na kuambiwa naringa coz nilichagua watu wa kuwaalika,wengine wakadai wangenichangia na wasingekuja.Huwezi kuwaridhisha watu wote thats why i always do things the way i want,Tanzania bado tunathamini vitu visivyo na maana,wengine wanafunga Harusi kuubwa baadae wanabaki na madeni au hata cash ya kuanzia maisha after harusi hawana,why that?:doh:
cjui kama nimkupata kaka, ssa kujenga kunahusianaje na kutoa mchango? au uantaka kusema kila atakaekuambia mambo ya mchango utamwambia unajenga, utatangazia wangapi?
thanks for whoever started this topic since it has been pissing me off! mimi nikiletewa kadi (hasa ambzo zimepitia mikono mingi) I just dump them in the garbage can labda kama ni mtu wa karibu sana. to hell, nikiwa na sherehe ya mwanangu hata kama ina watu kumi its ok! what matters ni kufanikiwa kupata kilichotakiwa. tena nawatonya wale wanaochangia mapesa mengi kwenye shughuli kwamba pesa unazochangia hazifiki zote kule zinakotakiwa kwenda. zinachotwa nyingi na kiasi kidogo kinapelekwa maana hatuna utaratibu wa kumwandikia mchangiaji kumshukuru kwa kutaja kiwango alichochangia. kwenye matatizo k.v msiba nitachangia. no objection kwa hili.
Duh Kasimba we kiboko nadhani huyo Mwenyekiti na Katibu hawatakusahau milele......ila ni fundisho kubwa,harusi nyingi hwa zinaenda mrama kwa ajili ya wanakamati waroho kama hao uliowataja...!:nod: