Mambo Jambo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2008
- 1,100
- 81
- Thread starter
- #21
heeeeeeeee, yani hapo mkuu umelenga!.
ebwana kuna kikao kimoja nilihudhuria, mshkaji alikunywa bia 4, kumbe watu wanamuangalia tu spidi yake, kufika kwenye uchakavu si akatoa 1000/=, acha akunjwe shati alipie,. hakuna usawa mie ninywe maji ya 300 mwingine anywe bia 5 halafu tutoe sawa uchakavu, Lol.
Inawezekana watu design hii wakawa wengi sana, wanawahi kwenye vikao wanapiga beer zao taratibu wanajua atakuja MJ na George_Porjie kulipia bill....noma aisee..