tanga sehemu gani nikashuhudie.
chuda, mabawa, chumbageni na makorola.................
tanga sehemu gani nikashuhudie.
Ushaanza kujigongagonga kwa mbeba box eheeeeeh!!
Kujichubua wajichubue wengine kukereka mkereke nyie. Waja bana!
Matola bwana.... We unabeba nini nigeukie kwako fasta?Ushaanza kujigongagonga kwa mbeba box eheeeeeh!!
Box linalipa baki nae huyohuyo usipige teke fuko la pesa,.......mimi ni mjanja mjanja tu wa mjini tunaishi kwa longolongo.Matola bwana.... We unabeba nini nigeukie kwako fasta?
Loh ..... Nahisi hii umeiandika kwa wino kabisa masikini. Poa ndugu yangu, ngoja niendelee kujigongagonga kwa wabeba mabox kama ulivyoiweka!Box linalipa baki nae huyohuyo usipige teke fuko la pesa,.......mimi ni mjanja mjanja tu wa mjini tunaishi kwa longolongo.
Naomba kujitambulisha tu kuwa hata mimi nabeba maboksi shemLoh ..... Nahisi hii umeiandika kwa wino kabisa masikini. Poa ndugu yangu, ngoja niendelee kujigongagonga kwa wabeba mabox kama ulivyoiweka!
Naomba kujitambulisha tu kuwa hata mimi nabeba maboksi shem
Ata mimi mbeba box,du wabeba box tumekuwa deal
Hasara yako, hasara yao?
Acha wajichubue.
Ray na Kanumba ni wazee wa mkorogo. nashangaa sana janaume zima linashindwa kumuangalia mtu kama Akon anavyoshine kwa rangi yake halisi!!
kama kibongo bongo basi hawajielewiHadi wanaume wanajichubua.
Unakuta mwanamme anaudharaulisha uanamme wake kwa tsh 2134
ana mkorogo karolait 552, ana dred za 250, ana mihereni, licheni kubwa kama nyororo, bracelet kubwa, na lipete kama embe vyooote alinunua kwa mafungu 400
Hizi bei ni pamoja na vat? Nielekeze nijigeuze mzungu manake nshapata zungu la kunipeleka vekesheni mwenzio
Mmmmhhhh!!
Mmmmhhhh na wewe pia.
hehehehe lol, hii JF samtaimu bana! Dah!Mmmmhhhh na wewe pia.
Nina wabeba maboksi kaa wawili hivi kama unatafuta mbeba maboksi we holla tu...sawa?