kero yako!

CharmingLady

JF-Expert Member
Apr 16, 2012
18,250
12,868
mu-hali gani wana CC, wadau hakuna kitu kinachonikera kama upo kwenye public transport halafu mtu anafungulia muziki kwenye kamchina kake muziki wenyewe mbovu. wakati mwingine unakuta watu wamechoka wanawaza vitu vingi kichwani afu mwingine anaweka muziki tena kwa sauti kubwa. . .
inanikera sana!!!!!! hebu tupia kero yako
 
hii tena ni kero nyingine....vinauzi....vinataka vyenyewe ndio vikuchune......

Yani vinauzi sana.
Nguo zenyewe za kuazima mpaka Mkoko.
Halafu akija pale Yes! No! kibao.
Vinauzi sana hivi viakina Dimpoz na akina Bob Junior.
 
hii tena ni kero nyingine....vinauzi....vinataka vyenyewe ndio vikuchune......

Shida iko wapi ?
Kama una mihela ya kifisadi !
Kuna mbungi gani ukam'baiya BabySharo hata ka'Stalet !
Wakati na yeye anakufurahisha! Sharo anajitoa kula Papai kama hana akili nzuri .
 
kero yangu mie kama huku dar ndo saana ukisimama kwenye gari basi lijanaume halina hata haya anakusimamia nyuma mara unahisi kitu kinakuchoma kumbe limeezeka turubai kwa mti mmoja ukihama anawewe afu jitu ziiima


Nyingne ni hili suala mtu anaita kwa busu afu eti anasema oya oyaa anti ee we antii oyaaa usipogeuka wanaanza sasa kuto mineno ya shombo
 
Kero yangu Kubwa Ni hawa vijana wa kiume wanaojiita Masharobaro kuja kututongoza sie wakati mifukoni mwao hawana hela ya kuhonga.
Madame B inaniuma sana!!!

umeona eeh,vinaboa afu vinanuka k.o.j.o ptyuuu
 
kero yangu mie kama huku dar ndo saana ukisimama kwenye gari basi lijanaume halina hata haya anakusimamia nyuma mara unahisi kitu kinakuchoma kumbe limeezeka turubai kwa mti mmoja ukihama anawewe afu jitu ziiima


Nyingne ni hili suala mtu anaita kwa busu afu eti anasema oya oyaa anti ee we antii oyaaa usipogeuka wanaanza sasa kuto mineno ya shombo

Umenifanya mbavu ziniume kwakucheka
 
Kero yangu me ni hawa wadada wanaovaa nguo fupi kupita kiasi mpaka yeye mwnyewe hana raha unakuta akitaka kupanda public transport anasumbuka kuivuta ili asikae u.c.h.i. Sasa me huwa najiuliza kitamba cha nusu mita kweli unaweza kivuta kiwe mita m0ja?yani unamkuta anaminyana kuvuta afunike vitu vyake vya faragha
 
kero yangu mie kama huku dar ndo saana ukisimama kwenye gari basi lijanaume halina hata haya anakusimamia nyuma mara unahisi kitu kinakuchoma kumbe limeezeka turubai kwa mti mmoja ukihama anawewe afu jitu ziiima


Nyingne ni hili suala mtu anaita kwa busu afu eti anasema oya oyaa anti ee we antii oyaaa usipogeuka wanaanza sasa kuto mineno ya shombo

pole shost, hyo ya kwanza me huwa nawapa makavu na vile shipa la aibu lishakatika wee sitaki ujinga. . .
 
Kero yangu me ni hawa wadada wanaovaa nguo fupi kupita kiasi mpaka yeye mwnyewe hana raha unakuta akitaka kupanda public transport anasumbuka kuivuta ili asikae u.c.h.i. Sasa me huwa najiuliza kitamba cha nusu mita kweli unaweza kivuta kiwe mita m0ja?yani unamkuta anaminyana kuvuta afunike vitu vyake vya faragha

mie wanaobust manyonyo, afu manyonyo yenye hayana mvuto!!!!!!
 
Nakumbuka Mwaka 2005 nilijibizana na dada mmoja ktk Daladala,
Tulitupiana maneno mpaka Nilifreeze.
Hyo ilikuwa mida ya saa2 Asbh.
Ile nafika Ofcn nikaambiwa na Boss kuwa kuna dada atakuja na ninatakiwa nimfanyie Usaili ili tumuajiri.
Ile kufika saa 4 tu mlango unagongwa akaingia yule dada aliekuwa ananitukana asubuhi ktk daladala,kumbe ndo ninaetakiwa nimfanyie usaili.
Baada ya Bosi kuondoka,Nilimkunja mule ofisini mpaka nilimchania nguo na Usaili sikumfanyia,nikamfukuzia mbali.
Basi mpaka leo akiniona Heshima na Adabu,japo hatukumwajiri pale.

Hii nayo ni Kero.
Usimdharau Usiemjua.
 
kero yangu kubwa kuona mtu mzima kanyanyua mkono kwenye daladala kashika bomba, kava sleevles halafu hajashave, nasikiaga kuchefukwa!
 
kero yangu kubwa kuona mtu mzima kanyanyua mkono kwenye daladala kashika bomba, kava sleevles halafu hajashave, nasikiaga kuchefukwa!

Tabia hyo wanayo wale wanaojiona Mabaunsa uchwara.
Ukute katoka Gym afu vinywele venyewe basi,vyekunduuu na tuunjanounjano afu kipilipili.
Kama una mimba,lazima itoke.
BTW cacico Mzima?
 
Last edited by a moderator:
Me kero yangu ni baadhi ya member humu kuwa wavivu wa kunipa like.inakeera sana wakati me huwa siwabanii. Hata reputation tu inakuwa kero? Bofya ile nyota unayoiona kushoto bhana!
 
Back
Top Bottom