kula kwa tindo
JF-Expert Member
- Nov 14, 2011
- 1,330
- 323
Shigongo fanya mabdiliko wewe ni mjasiliamali wa ukweli kabisa hapa tanzani!Ni ukumbi mzuri,na ni fahari ya wakazi waliopo maeneo ya pembezoni mwa Jiji hili.. Lakini Duh!! Usiombe BOZA limwagike, Mtakomaje.....
Hahahaha sasa tabu ya nini jamani kha!
Iyo picha nilizani ni staili ya kushangilia kumbe wanajikinga na mvua!
Duh nilijua ni aina mpya ya ushangiliaji aise kumbe ni kujikinga na mvua
dah sasa hiyo ni starehe au balaa
Shigongo fanya mabdiliko wewe ni mjasiliamali wa ukweli kabisa hapa tanzani!
Alafu katika promo wanasema .. DAR LIVE NDIO UKUMBI BORA NA WA KISASA KWA BURUDANI KWA DAR ES SALAAM.....
aongee na msure ampe za stimulis !Shigongo ni laba stempu, sema hivi 'bilionea Riz karabati kitega uchumi chako'
Shigongo ni laba stempu, sema hivi 'bilionea Riz karabati kitega uchumi chako'
Mjini hapa kila kitu kipya ni cha Riz1 duu haya majungu sasa!