Hili suala limekuwa kama jadi ya Watanzania wengi sana hasa mijini na majiji kwa watu kutumia nyembe kwa matumizi yao binafsi na kuzitupa hovyo barabarani na wanaoathirika ni watoto wadogo ambao wamekuwa wanaokota. Wanaofanya hivi waache ni dhambi kubwa sana