kuchangumu
JF-Expert Member
- Apr 2, 2014
- 724
- 290
Muungano wa sasa wa Serikali mbili ulikuwa kama Mtu mgonjwa, na Dalili za ugonjwa zikiwa ni zile Kero ambazo haziishi Daima. Hivyo Tume ya Warioba ilikuwa kama Daktari aliyeletewa huyo Mgonjwa na baada ya kumchukua vipimo, akaamua kwamba tiba yake ni upasuaji tu, na sio kitu kingine. CCM wakasema upasuaji hapana, Asprin pekee ndiyo inatosha".