Kero kero mtandao wa tigo jamaniiiiii

yaani zamani nlikua naipenda tigo utadhani kuna hisa nlizokua namiliki. Hata mtu akiisema vibaya ilikua inaniuma sana na mara nyingine najaribu hata kuwatetea. Lakini kwa wanacho nifanyia sasa yaani nyie semeni tu wala siumii na wala siwatetei. Tena hata mimi mwenyewe nimewapa adhabu mana line ya tigo nimeweka kwenye kitochi cha nokia. Na ile simu yangu nyingine nimeweka AIRTEL yaani hakuna matata. Tigo ndo basi tena kwangu imeshakua subsidiary.
<br />
<br />
Kumbe tuko wengi ehh! Yani mi pia nduguyangu ni kama ww, tigo nimetokanao mbali sana, nilikua nawaheshim lakini siku hizi na ujinga wai huu wa matangazo unapopiga sim sina ham, line ya tigo na mimi ipo ktk Nokia kitoch ina zaidi ya miezi sita sija recharge, ni ya kupokea sim tu! Natumia airtel long time, **** mbuge majuzi ali raise hii issue ya matangazo unapopiga sim bungeni kuwa inatupotezea muda wa uzalishaji mali lakini waziri husika akajikanyaga tu! TIGO to hell!!!!!
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
HIVI HAWAJUI KAMA UMEME WA MGAO? SHENZI KABISA UKISIKIZA TANGAZO HAD MWISHO N BATTERY IMEENDA ARIJOJO,AF UTASIKIA NAMBA UNAYOPIGA HAIPATKANI,AGHHHHHRRRRRRR!!!!

Flora bibie? U made my day! Nimecheka sana Leo.
 
poleni wengi mnaoteseka na tigo lakini sisi wengine mbona hatuapti hayo matatizo ijapokuwa tunaishi vijijini kuliko nyie wa mjini? mbaya zaidi sie huku vijijini airtel ndo inatuboa maana waweza kumpigia mtu simu ikawa inaita kumbe yule mtu kule kwake haiiti, so unaweza gombana na mwenzio/mkeo/mmeo/bosi wako kwamba kwa nini hukupokea simu kumbe wala hukupata simu hiyo

kujitoa huduma ya ringtone andika neno ONDOA kisha tuma kwenda 15007

ishu ya bahati nasibu ni bahati nasibu, mbona washindi wanatangazwa magazetini na redioni?hoja ya jamaa yako wa karibu kushinda ni dhaifu sana, kwani kama hajashiriki atashindaje? after all inategemea na points za ushhiriki, sasa wewe utalalamikaje ilhali sms unazotuma ni 2 au 3 ?hamjasoma probability hata o-level jamani? au hata hesabu hizo kwenu zilikuwa ngumu?

ishu ya kukatwa hela wakati mtu hajapokea huu ni uongo hakuna kitu kama hicho,

hoja ya weka sh 500 upate mara mbili yake ni tangazo la zamani, kwani hivi sasa wamebadili na wameweka katika dakika, kwangu mimi kupewa dakika za bure ni bora zaidi

pamoja na mapungufu yake, tiGO is still the most affordable network in Tanzania, na ndio maana inaongoza kwa subscription among vijana na in dar tigo ndiyo inaongoza kwa subscription ikifuatiwa na voda then zain
 
mi airtel wamenifanya vibaya.nina pesa kwenye akaunt ya zap lkn nikitaka kuitoa kwa maana ya muda wa hewan au kwa matumiz mengine kama kulipa bill naambiwa sina salio la kutosha.nimeweka jela zaidi ya lak 2.7 sijawahi kutoa au kutumia.nimewapigia wamthibitisha kiwa ni kweli hela ipo eti atizo ni network,je ntwork zaid ya mwezi?mie nimewachoka hawa airtel ni waizi
 
Hahahah waungwana chukua hii...tigo kwa sms tu....voda kwa m-pesa tu....airtel kwa internet tu...na zantel kwa kutwanga kotekote....chaguo ni lako
 
Mi mwenzenu matatizo yote hayo nawashangaa nyinyi tu, kwangu hakuna. Lkn kwa na simu ya line zaidi ya 2 muhimu sana kwa sasa, kwani hupunguza kero.
 
Wadau wenzangu mwenye ufahamu anisaidie,nataka kujitoa kabisa katika ile huduma ya ajabu ya milio unapopigiwa nafanyaje kuokoa sh 30 yangu inayoliwa bure kuchangia bahati nasibu ambayo washindi wamepangwa tayari

ulikuwa unafurahia kujiunga eti? sms UNSUB then send to 15007
 
mi airtel wamenifanya vibaya.nina pesa kwenye akaunt ya zap lkn nikitaka kuitoa kwa maana ya muda wa hewan au kwa matumiz mengine kama kulipa bill naambiwa sina salio la kutosha.nimeweka jela zaidi ya lak 2.7 sijawahi kutoa au kutumia.nimewapigia wamthibitisha kiwa ni kweli hela ipo eti atizo ni network,je ntwork zaid ya mwezi?mie nimewachoka hawa airtel ni waizi
&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
tena wanaiba mpaka line nzuri ndugu yangu, yangu ilikuwa 0788888áéé wakaifunga nilipokwenda Morocco pale wakaniambia imesajiliwa kimakosa, ina ambaye yupo upcountry huko, lkn ukipiga haipatikani tokea mwaka jana mwanzoni. Nashangaa juzijuzi napiga naambiwa namba unayopiga HAIPO! What happened? Nitaifuatilia, kwani bado kuna jamaa ile ndo wanaifahamu. Sijaona tatizo kama hilo tigo, line yangu tokea mwaka 1999. Hii mitandao mingine kwa sababu fulani fulani tuu, lakini tiGO ni bora zaidi kwa kweli.
 
poleni wengi mnaoteseka na tigo lakini sisi wengine mbona hatuapti hayo matatizo ijapokuwa tunaishi vijijini kuliko nyie wa mjini? mbaya zaidi sie huku vijijini airtel ndo inatuboa maana waweza kumpigia mtu simu ikawa inaita kumbe yule mtu kule kwake haiiti, so unaweza gombana na mwenzio/mkeo/mmeo/bosi wako kwamba kwa nini hukupokea simu kumbe wala hukupata simu hiyo<br />
<br />
kujitoa huduma ya ringtone andika neno ONDOA kisha tuma kwenda 15007<br />
<br />
ishu ya bahati nasibu ni bahati nasibu, mbona washindi wanatangazwa magazetini na redioni?hoja ya jamaa yako wa karibu kushinda ni dhaifu sana, kwani kama hajashiriki atashindaje? after all inategemea na points za ushhiriki, sasa wewe utalalamikaje ilhali sms unazotuma ni 2 au 3 ?hamjasoma probability hata o-level jamani? au hata hesabu hizo kwenu zilikuwa ngumu?<br />
<br />
ishu ya kukatwa hela wakati mtu hajapokea huu ni uongo hakuna kitu kama hicho, <br />
<br />
hoja ya weka sh 500 upate mara mbili yake ni tangazo la zamani, kwani hivi sasa wamebadili na wameweka katika dakika, kwangu mimi kupewa dakika za bure ni bora zaidi<br />
<br />
pamoja na mapungufu yake, tiGO is still the most affordable network in Tanzania, na ndio maana inaongoza kwa subscription among vijana na in dar tigo ndiyo inaongoza kwa subscription ikifuatiwa na voda then zain
<br />
<br />

Hakika wewe ni mmoja wao
 
Back
Top Bottom